Kah kuna wa2 wana roho ndogo sana km mmepata hiyo sheet weken basi hapa na sisi tuone au mnataka kumbebesha mzigo wote jamaa?kuweni na utu bana usaidiwapo na ww saidia na utabarikiwa
Salam wandugu naomba msaada plz rafiki yangu yamemkuta mkewe anatumia uzazi wa mpango{njiti} sasa anadai mkewe hana hisia tena yani hata azame chumvun hapati hisia vp mwamshauri nn?kwamba ukitumia uzazi wa mpango mwanamke hupoteza hisia?
Salam wandugu naomba msaada plz rafiki yangu yamemkuta mkewe anatumia uzazi wa mpango{njiti} sasa anadai mkewe hana hisia tena yani hata azame chumvun hapati hisia vp mwamshauri nn?kwamba ukitumia uzazi wa mpango mwanamke hupoteza hisia?
Huna maana kudadadadadeki yani mtu una mke halafu unataka kutoka na mwanamke mwingine tena ana gono huna akili ww ndoa na iheshimiwe na watu wote mbna unatuzalilisha wenye ndoa tuonekane wala matapishi?km stail mfundishe mkeo
nyambafu yani shit nataman nikuone
Huna maana kudadadadadeki yani mtu una mke halafu unataka kutoka na mwanamke mwingine tena ana gono huna akili ww ndoa na iheshimiwe na watu wote mbna unatuzalilisha wenye ndoa tuonekane wala matapishi?km stail mfundishe mkeo
nyambafu yani shit nataman nikuone
Zoom nawakubali sana sana ila kuna fununu kuwa na typing error mchapaji awe makini zaidi pili ni ombi naomba wekeni e-mail addrs za kazi mnazoweka tafadhal mbna wao wanaweka kwenye magazeti?tafadhalin sana sio wote tunauwezo wakupata gazeti au hela zakupost barua so km zoom hamtajali tuwekeeni...
WANDUGU NATUMAIN MKO POUWA NATAFUTA KAZI YA UDEREVA LESEN CLASS A.B.D.E CHETI CHA VETA NA N.I.T UZOEFU MIAKA 5 NAPATIKANA DAR KWA Email davideshao@yahoo.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.