Wewe mpuudhi umalipwa na Kwa hii posti yako ya kumpiga madongo mpuudhi kigwa IPO kimkakati unataka kigwa akutafute akuombe uwe chawa wake kwa malipo.
Kigwangala najua hupo huku jf huyu dogo anakuomba kazi ya uchawa
awe anakupamba kama anavyofanya Kwa Bi Betina na Zero brain bashite
Anataka hiyo...
Ni kweli ni suala linalofikirisha sana hususani ukifikiria labda na mimi na weza kuwa hivyo nikiwa.mzee au?
Cha msingi usimcheke.mtu tujitahidi kujibidiisha kumuomba Mungu pamoja na kuwekeza Kwa ajili ya baadae.
Mtoa mada huelewi hata source ya utajiri wa GSM.
Home Shopping Center. ilikuwa kampuni kinara wa kuingiza mizigo mingi hapa Tanzania Bila kulipa ushuru.
Source ya utajiri wao hao GSM formerly HSC ni kukwepa kulipa kodi za serikali pamoja na biashara ya Meno ya tembo akishirikiana na JK wakati...
Mbona kuna vyuo vya elimu ya juu hapa.nchini vinafundisha masomo ya dini?
Na sio kweli.kwamba wale wote wanaosomea masomo ya dini wanakuwa mapadri/mashekhe au masista.
Kama kuna vyuo vya elimu ya.juu vinafundisha masomo ya dini sioni shida Kwa wanafunzi kuanza kuwekewa.mfumo rasmi wa kubobea...
Nilivyokuelewa mimi umeelezea kuhusu NDOA. na wala sio mwanamke na mwanaume aliyekamilika.
Ndugu unatakiwa uelewe kwamba NDoa hapa Tanzania ni suala ambalo lipo kisheria .Sheria ya Ndoa, Sura ya 29 ya mwaka 1971
Huwezi kujadili suala la ndoa Bila kuhiusisha sheria hiyo acha kupotosha
Mbona kuna vyuo vikuu vingi hapa Tanzania vinafundisha shahada na astashahada za dini?
Cha msingi isiwe Kwa kulazimishana mi ninachoona ni kwamba serikali inaweka mazingira mazuri kila mtu aweze kupractise dini yake atakavyotaka
Si ndio hapo Sheria ya Ndoa ya Tanzania inaruhusu mwanamke hata wa miaka 15 aolewe ila Kwa IDHINI ya wazazi au walezi wake.
Nimenukuu kipengele hicho cha Sheria hapo chini
"17. Requirement of consent
(1)A female who has not attained the apparent age of eighteen years shall be required, before...
"Kwa sababu katiba ipo wazi kabisa kuwa anapokuwa amefariki Dunia Rais anayetakiwa kutangaza kifo hicho ni makamu wa Rais"
Nimekunukuu hapo juu , ni kifungu kipi au namba ngapi kinachoelekeza hivyo?
Siku hizi huku mtaani hadi vigrocery vimegeuka nightclubs so watu hawaendi mbali.
Zamani hayo maeneo yalibamba sana kwani maeneo ya kujirusha yalikuwa machache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.