Hatutaki tena kitu kinaitwa ccm!!! Ccm ya sasa imepoteza sifa za kuiongoza nchi yetu, kila idara ya serikali ni ufisadi tu!!! Genge la ccm limeweka mgombea atakaye weza kulinda maslahi mapana ya mafisadi wa ccm na ndo'maana wanamuogopa mkuu el kuliko kitu chochote kile!!! Wakiskia tu el...
Naamini ufisadi unaosemwa wa lowassa huwezi mtenga jk!!! Haingii akilini pm akapiga dili kubwa bila ruksa ya rais!! Haipo na ni ngumu sana!!! So, i think lowassa alitumiwa tu ka'mbuzi wa kafara ila in reality mkuu wa kaya can't escape such a scandle!!! Ukitaka kuamini jiulize swali moja tu...
hakika inatia uchungu sana mkuu!! Hawa wasomi wa nchi hii akili zao ka'za machangudoa vile!!! Yani mtu yuko tayari kuuza utu wake kwa vipande kadhaa vya fedha???!!! What a shame to all tanzanians and our poorer country tanzania!!! Mtu anakuwa after money kupitiliza kiasi cha kuwa ka'nyama ya...
Na bado! Ccm wanafanya mambo as if hii nchi ni "kiosk chao". Watz mkiona watu wa mataifa mengine wanaandamana na kupoteza uhai mjue wanakuwa wamefikia "the point of no return". So if one day that point reaches in our country automatically watz wataingia mitaani kudai kuondoka kwa hawa...
Watanzania wenzangu, hakuna aliye na atakaye kuwa na jipya ndani ya chama cha mapinduzi (ccm), hata awe nani na atoke wapi. Ccm ishakuwa corrupted completely and there's no way whatsoever it can come back to help us tanzanians. Cha msingi ni kutomchagua mgombea yeyote yule wa urais hata ubunge...
Wana jf tujitahidi sana sasa kuwaelimisha watz wengine ili 2015 ccm ipotelee mbali kabisa kwani ni genge la wezi wenye mfumo hatari sana wa kulindana!!! Washatufanya watz kuwa kama takataka then we should act against them vigorously.
Watanzania mnalalamika sana lakini kuiondoa serikali hii dhalimu ya ccm hamtaki! Ngoja wawaoneshe kwamba wanawadharau mpaka muamke! Mtabaki kusemasema tu with no actions then kwa kuwa wanawajua ni waoga watawatenda wapendavyo na you'll never do anything! Kazi kucomplain and when it comes to...
CCM hata mfanye vipi jamani mshatuchosha! Hamna mpya! hata nguo ya miaka hamsini itakuwa ilishaoza so kaeni pembeni. kazi kuwaza mitumbo yenu isiyoshiba for fifty year!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.