Muda c mrefu ****** atampeleka Nishati na madini, tayari umesahau ile mail ya dada kwenda kwa mkuu pale barrick? 2015 inakuja, mtaondoka tu hata kwa sime coz this time hatutakubali kabisa.
Acha upumbavu Wewe,umaarufu wa Kanumba ndio unaokufanya umhukumu huyu binti mapema hv? Kwani hawezi Kuwa alidondoka chini kwa bahati mbaya? Hii kauli mbiu ya NGUVU YA UMMA sasa inatumika vibaya hata na Watu wajinga wa aina yako
Makosa yako kwenye kifungu cha sheria za uchaguzi namba 108(II) (a) Jaji kwa kudhamiria katumia kifungu cha sheria za uchaguzi namba 114 ambacho kinahusu makosa yaliyotokana na rushwa tu halafu ikulu inataka tuamini kwamba mahakama ni muhimili ulio huru? Dhamira yao Ilikuwa Lema akate rufaa...
Lazima kuna mkono wa Mizengo Pinda, si alisema uongo Bungeni na kile kibibi kichawi kinapiga chenga kutoa uamuzi licha ya jemedari kumpelekea ushahidi. Siku 90 si nyingi na this time utashinda kwa kishindo kuliko hata uchaguzi uliopita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.