Alichofanyiwa huyu kijana ni kosa la jinai, anayepaswa kufungua kesi ya jinai ni jamhuri, si mtu binafsi wala taasisi yoyote. Chadema haina legal mandate ya kumfungulia mtu kesi ya jinai! Kesi zote za jinai zinafunguliwa na Jamhuri. Sheria iko hivyo. Isipokuwa hao wenye ushahidi wanaweza kuitwa...
Bora huyu amekuwa mkweli kuhusu elimu yake, au unataka afanye kama Mulugo na Profesa William Lukuvi? Si ndiyo zenu magamba? Suala la uchambuzi wa bajeti na uchambuzi wa mambo mengine huwa ni uwezo wa mtu binafsi kufuatilia mambo,ndiyo maana hata wapo mnaowaita wasomi wanatoa suggestion eti...
Hivi mtu anayeunda wilaya ya Rombo yenye warombo peke, au wilaya ya rufiji yenye wandengereko na wanyagatwa peke yao na mtu anayeunda jimbo/kanda yenye mikoa mitatu au zaidi, ni nani mwenye ukabila? Nani anagawa nchi kwa misingi ya ukabila kati ya anayeynda wilaya yenye kabila moja au mawili na...
Kidumu chama, zidumu fikra sahihi za dr. fastjet zilizotufikisha hapa. Haya ni matokeo machache ya kauli zilizohubiriwa wakati wa kampeni za mwaka 2010 na zinazoendelea kuhubiriwa kwenye mikutano kadhaa ya akina nepi (nape). Tutarajie makubwa kuliko haya
HIVI HUYU NDIYE MWAMPAMBA ALIYETAKA KUWA M/KITI WA BAVICHA NA MBUNGE WA MBOZI? MBONA HATA KUANDIKA BARUA YA KISWAHILI HAJUI! HEBU ATOKE, VILAZA KAMA YEYE WAKO CCM. SASA UNAMTUKANAJE MTU AMBAYE UMEMWANDIKIA BARUA YA KUKATA RUFAA? huu ni upungufu wa fikra kichwani (UFIKI)
Mukoba asilaumiwe, ni vigumu sana kuwagomesha walimu. Tena safari hii naona wamejitahidi sana. Walimu ndiyo wanatakiwa kubadili mindset yao na kufanya kitu cha uhakika. Tatizo siyo cwt, tatizo kubwa ni walimu wenyewe
AMA KWELI, UJINGA NI MZIGO! KWANZA UMEANDIKA RUKUKU BADALA YA RUZUKU, HALAFU NADHANI WEWE UTAKUWA NI MTANGAZAJI WA REDIO UHURU (JIMMY KAGARUKI)! ANAYEKABIDHI NCHI NI CCM AU NI WAPIGA KURA? USE PROPER ORGANS FOR THINKING PLEASE! THREAD KAMA HIZI NI UCHAFUZI MKUBWA WA Jamiiforums,MODERATORS MUWE...
hii sasa kali! tatizo la ccm ni kutaka kuiga kila kitu kinachofanywa na chadema! waliiga usafiri wa helikopita hadi mavazi (eti wameshona magwanda ya kijani), shame on them!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hoja imeungwa mkono. Luhanjo alisema alichotumwa na JK. Kumbuka maneno ya mh. James Lembeli;" RUSHWA IMEINGIA HADI IKULU". Tuliyemuweka ikulu ni JK siyo jairo,jairo ni mteule wa JK!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.