Jaribu kuelezea vizuri upate msaada sahihi;
1. Vitu vimechukuliwa na polisi vikiwa safarini (yaani katika harakati za kuhamishwa sehemu kwenda nyingine) au vilikuwepo tu nyumbani kwake na polisi wakaja kuvichukua?
2. Pia mmehoji kwasababu gani vitu ivyo vimechukuliwa?
Asante Kididimo, shamba nililinunua mie mwenyewe, kiukweli nimetafakari sana nini naweza kufanya lakini sijapata jibu zuri ndio nikaona nije jukwaani hapa ni jungu kuu.
Poleni na kazi,
Mimi ni kijana wa kitanzania, ninashamba la ekari 4 maeneo ya Msata/Chalinze pia nina-mtaji wa Tsh. milioni mbili. Naombeni ushauri nifanye shughuli/biashara gani kupitia rasilimali hizi?
Asante na ntashukuru nikipata ushauri wakunijenga.
Nimeliona jina kamili (yaani majina matatu) ya mdogo wangu ambaye kisomo chake aliishia kidato cha nne na kujiunga jeshi la wananchi Tanzania, hakika nina wasiwasi na hii orodha. Naiona haijakaa kitaaluma hasa pale waliposhindwa kuainisha chuo, kozi na umri na mwaka mtu aliosoma chuo husika.
Aaaghy... .. adata5 we piga yowe Mnyamwezi nakula vichwa no matter what,..sikati tamaa kwa domo la Mswahili ka'wewe. . .
Huo ndio Ubunifu+Ujasiliamali., sa'wewe kukalia jungu tu..
.."mjasiliamali jitume, usingoje kupewa ajira"
Kazi Kwako.,
Pata Universal Modem kwa Tsh.35,000/ hakuna haja ya kusumbuka ku'unlock au kua'limited na Mtandao wowote.
Model yake 3.5G, HSPA.
Speed 7.2Mbps (HSDPA).
Inaslots mbili,...moja kwa'ajili ya line ya mtandao wowote na nyingine kwa'ajili ya Memory Card. Angalia picha yake.
CONTACTS; 0718'646486 &...
kama upo dar' jipatie Universal Modem kwa Tsh.35,000/= bila usumbufu wa kuanza ku'unlock or what...
Model yake 3.5G, HSPA.
Speed 7.2Mbps (HSDPA).
Ina'slots mbili...moja kwa'ajili ya line yako Mtandao wowote na yapili ni kwa'ajili ya Memory Card. Check picha yake apo..
CONTACTS; 0718'646486 &...
Hapo tatzo ni hardware ambapo possibly inaweza kua ni Mkanda wa Display ambao usually huwa'affected by Mgandamizo au Kubamizwa, so waone Mafundi wa Hardware Watarekebisha fresh..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.