Kwa kweli hali kisiasa nchini imepoa sana hadi inaboa kabisa. Ndio maana hata watu wengi hawajui nini kinaendelea kwenye siasa za nchi hii.
Huwezi amini eti kwasasa bunge linaendelea hakuna anayefuatilia. Hali ikiendelea hivi inawanufaisha wasiofaa kuongoza nchi hii.
Anahitajika MwanaCCM mmoja...
Rais wa Peru ambaye ni mwanamama amesachiwa na kushtakiwa mahakamani kwa madai ya kuvaa vitu vya thamani ikiwemo saa ili kujua amenunuaje.
My take hapa kwetu skendo ya saa iliisha kimya kimya
https://youtu.be/xc6ms9CjYNk?si=CfxRMdBI2TuSfQNQ
Hayati Magufuli alikarabati reli hiyo pamoja na mabehewa zaidi ya 500. Aliwarudisha kazini mafundi wote wastaafu wa shirika la reli na wakafanya kazi ya kizalendo sana.
Huu mkopo wa Bil 516 kwa ajili ya ukarabati wa MGR Dar-Kigoma Je ni halisi? Ukarabati unahusisha nini na nini?
Kuna taarifa kuwa Press ya Mama kulitangazia Taifa msiba wa Magufuli ilitumwa TBC kwa Whatsapp bila hata Gen Mabeyo na wenzake kujua. Nao walishangaa tu imepelekwa na nani na Mama Samia kujuaje? Je kuna ukweli wowote?
Najiuliza tu Je hii interview ilikuwa na ulazima na umuhimu wowote kwa siku ya leo au ni mkakati?
Aidha Mabeyo anasema kuna wakati mama alikuwa anashauriwa vibaya Je, ni wakati gani huo?
Katiba kuhusu Rais na Makamu wake inafanana na katiba ya marekani kuwa Rais akifa Makamu anakuwa Rais. Sasa wewe unaonekana hujaangalia movie na series za kimarekani kuhusu vita iliyopo kwa Makamu kuutaka Urais!
RC Chalamila akiwa katika lindi la huzuni alisema kwa Katiba hii basi Rais aombe...
Nimeona watu wamemchangia Mama Samia milioni 120 kwa ajili ya kuchukulia fomu 2025. Watu hao wanaongozwa na Kassim Majaliwa waziri mkuu wetu.
Swali langu ni Je ni halali kwa Mama Samia na wapambe wake kuanza kampeni kabla ya wakati?
Je haiwezekani kuwa Kassim Majaliwa anamtengenezea Mama...
Bila shaka Mbowe yuko kwenye mpango mkakati wa Mama Samia. Matendo yake ni dhahiri. Mbowe atakuja na program za geresha na atang'ang'ania Uenyekiti ili come 2025 CHADEMA iwe haina Agenda wala dira kumpa unafuu Mama. Si ajabu hata akasusia na chaguzi zenyewe
kama hailipi wasingebet. Hakuna binadamu anayependa matatizo hasa ya kifedha.
Mashine zile we zichukulie kama sanduku la kijumbe wa kikoba yaani leo unaweka kesho utachukua
Nyie mna uwezo wa kununua majenereta na kufunga solar wao hawana uwezo huo. pia nyumba zenu zina ma AC, Majiko ya Umeme na watoto wenu wanashinda kwenye katuni kwa hiyo mnakula umeme mwingi sana lazima mkatiwe zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.