Sio chuo cha Walimu Butimba huyo boda boda wako mwambie akupeleke Bunda IL uje na taarifa kamili. Tukio Hilo limetokea majuzi linahusisha wanachuo wa Bunda TC. Sio Butimba.
Uko sahihi mkuu kama wasomajibwapo humu walifanyie kazi. Hata kusajili Kampuni ni tizi ni Mara mia turudi tulikotoka ili wapate muda wa kujipanga na tekinolojia ambayo kwakweli ilikuwa nzuri ila changamoto zimekuwa kubwa kuliko ufanisi
Pole saana mleta Uzi.
Bahati mbaya Watu wanajadili Picha badala ya tatizo.
Ww uliyekimbiwa na Mme kaa chini na utulie mlilie Mungu atakuonesha njia.
Na huyo Mwanamme IPO Sikh atakutafuta kwa style nyingine.
Pole sanaaaa. Ila jipe Moyo. Na Mungu ni Mwema
Ni kauli yenye matumaini kwakweli.
Ila nashauri aiweke kwenye maandishi awapelekeee marpc na Ocd pia wananchi wapate hiyo barua kupitia website ya wizara
Hapana mm naamini kabisa Nchimbi na Sofia Simba ni Team Lowassa damudamu
ila nashauri Sofia Simba na Nchimbi wabakie huko physically ila mentally wawe kwa Lowassa ili waweze kuvujisha na kudaka siri nyeti za kuhusu mikakati ya Nyinyiemu kuthibiti goli la mkono
Hivi kweli kama kuna mechi kati ya Simba na Yanga je Kocha Wa Yanga alishapanga safu ya wachezaji Wa Simba?
so ww kama mnajua Dr.SLAA is nothing in Ukawa just keep quit ili uje kushinda. Kwa Ufupi Dr.SLAA anawatesa sana CCM na matawi yake.
CCM imetuweka Rehani. Naona Tanzania ikiingia kwenye machafuko.
Saikolojia ndogo tuisome humu watu wanavyojibizana. Tutafyekana mapang balaaaaaaaa. Naomba Huu ----- usijadiliwe bungeni utatuunguza na kututeketeza.
Anakwambia hujakidhi vigezo VP???? Nakushauri ukatoe malalamiko Kwa RAS maana Tayari RAS Wa mkoa wako anayo nakala ya kibali hicho kilichotoka Tamisemi. pls lishughulikieni faster ndani ya siku 14.
nawe naye zuzu tu , ded anaingizwaje? Ww mvivu wa kusoma unapapara. Mojawapo ya tuhuma alizonazo huyu mhuni mwenzako ni kuingilia vikao vya halimashauri ya kijiji sasa uendeshaji wa halimashauri za vijiji ziko chini ya ded na sio pccb. Amekuwa akiingia kwenye vikao vya halimashauri ya vijiji...
Kama huamini basi Acha kuamini.
Ungekuwa ni MTU Wa mamlaka usingeongea kwani nakala imo ofisini kwako.
Ila kwakuwa haumini nenda Kwa Katibu Mkuu wizara ya mambo ya ndani, au ofisi ya RPC KIGOMA,OCD KASULU,DC KASULU NA DED KASULU.
Other wise unakaribishwa Kata ya Kwaga uongee na Wananchi upate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.