Sikuamini machoni na masikioni baada ya kuhudhuria semina iliyohusisha mawakala kutoka NHC na Wafanyakazi wa St. Johns University of Tanzania a.k.a Mazengo compus. Kilichoniacha hoi ni kwamba wanatushauri tukanunue nyumba za Medeli residential apartment na bei ya ofa kama alivyosema mtoa mada ni...
Sikuamini machoni na masikioni baada ya kuhudhuria semina iliyohusisha mawakala kutoka NHC na Wafanyakazi wa St. Johns University of Tanzania a.k.a Mazengo compus. Kilichoniacha hoi ni kwamba wanatushauri tukanunue nyumba za Medeli residential apartment na bei ya ofa kama alivyosema mtoa mada ni...
Tundu Lissu!
Tulishazoea kumsikia akichachafya kila kona ndani na nje ya bunge, siku hizi Tundu Lissu yuko wapi? maana sio Arumeru wala Kitumba hajasikiki hata kidogo, naombeni msaada kujua yuko wapi Lisssu kama mwanaharakati, Jembe, mpambanaji n.k
Wadau naomba mnisaidie katika hili?,
Tulizoe kumsikia kijana wetu, jembe letu, mwanaharakati mwenzetu, mpiganaji n.k akichachafya ndani na nje ya bunge laki tangu bunge lililopita sijamsikia popote pale sio Arumeru wala Kirumba, naomba kujua hili jembe limeingia mitini wapi? Kama kuna mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.