Hili tangazo ni hatari sana. Linashawishi watu kufanya kazi pasi na kuchukua tahadhari stahiki za kiafya, eti kwa sababu ya brand yako ya maziwa.
Unaruhusuje tangazo kama hili liende hewani? Tangazo ambalo linawashawishi watu kufanya kazi bila kufuata kanuni bora za afya eti tu kwa sababu...
Serikali imetangaza ongezeko la wagonjwa wengine wapya 53 na sasa jumla ya walioambukizwa Tz ni 147. Hawa 53 wapya, wikiendi ilopita, mlikuwa nao huko makanisani, misikitini, vijiweni, baani, na kungineko? Kama walikuwa huko, waliambukizwa na nani? Nao wameshawaambukiza wangapi? Idadi halisi ya...
Mnapoendelea na siku tatu za maombi, msisahau kusoma aya hizi:
"Kumcha Bwana ndicho chanzo cha maarifa, lakini wapumbavu hudharau hekima na adabu. [kwa hiyo] kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu, mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga...
Evidently, on social media, Tanzanians (and I think, for the most part, Africans) were having fun, cracking jokes, and singing songs to mock COVID-19, as of two to one week ago. Many of us have witnessed scads of jokes circulating on social media as if, as a country, we have special immunity to...
Wagalatia 4:15-17 "Mlikuwa wenye furaha; sasa kumetokea nini? Naapa kwamba wakati ule mngaliweza hata kuyang'oa macho yenu na kunipa mimi. Je, sasa nimekuwa adui yenu kwa sababu ya kuwaambieni ukweli? Hao watu wengine wanawahangaikia ninyi, lakini nia zao si njema. Wanataka kuwatenganisha nami...
Ubinadamu si sisi, kwa tafsiri sisisi
Wengine wetu mafisi, wa mawazo mufilisi
Wajitia majasusi, wajifanya mamilisi
Nasema hao si sisi, wana chembe za ufisi
Wana wingi wa matusi, zina sumu zao hisi
Wamejawa uyabisi, machoni utusitusi
Wafurikwa na ubinafsi, wajiona ni wakwasi
Nasema hao si sisi...
Si lazima kufanya chochote kati ya hivyo. Ila ni lazima kila MwanaChadema na kila MwanaCCM kuunga mkono mabadiliko. Mabadiliko yanakuja kwa kubadilisha mfumo wa uongozi, wakati mwingine hata kama mabadiliko hayo yataleta mabadiliko ya kisiasa tu. Narudia, ni sharti na wajibu wa kila Mtanzania...
Rafiki yangu mmoja akasema "Mkuu wa Malofa ni Lodi Lofa". Basi kama huyu jamaa aliyewaita Watanzania "Malofa" alishakuwa rais wa hao Malofa, yeye mwenyewe ndiye Lodi Lofa, a.k.a. "LordLofa". Kwa wale mlowahi kusoma gazeti la Sani, basi mnazielewa tabia za Lodi Lofa. Hilo la "Wapumbavu"...
Nina swali rahisi tu kwa Mwenyekiti Wa CCM
Katika mchakato wa utiaji nia hadi sasa, bado sijaona mwanamke hata mmoja aliyejaribu kufanya hivyo. Je Rais wangu, bado mfumo wetu wa kidemokrasia haujatuwezesha kuwa na wanawake majasiri, wenye uwezo wa kutuongoza?
Mfumo wetu wa Viti-Maalumu...
Imekuwaje hukutupatia mpango kazi wa namna utakavyoyatatua matatizo uliyoyaorodhesha? By the way kwanini unafikiri kigezo kikubwa cha kuwa Rais ni kuzaliwa kwenye familia maskini kama yako?
Tumechoka watu wanaolalamikalalamika na kututajia matatizo yetu kila siku, tunahitaji watu wanaotuambia...
Ndugu Watanzania,
Nadhani ni kweli tunapaswa tupimwe akili zetu. Inakuwaje nchi inajenga ushabiki wa kisiasa kiasi hiki, na kushindwa kuutazama uadilifu na historia ya watu wanaoomba kuongoza nchi? Haiwezekani kila anayefanya ufyongo na kujiuzulu au kutimuliwa nafasi walizokuwa nazo, anaibuka...
Ama kweli Watanzania tutafutiwe mtaalamu aje atupime akili zetu. Hivi kweli mtu mwenye akili timamu unaweza kuwaza Profesa Muhongo anaweza kuwa Rais kwa zile tabia zake kweli? Hey people! Let's be serious! This is not only our country, but the country of the future generations.
Hivi Watanzania tutaelewa siasa lini? Au hujajua kuwa mbele ya pesa hata dini inawekwa pembeni? Hao si ndio waliosema 'mtumikie kafiiri upate mradi wako'? Wamempokea kwa shamrashamra, sio kwa sababu wanamkubali lakini kwa sababu alikuwa pale kwa ajili ya kuwapatia pesa za msikiti!
Hivi Watanzania tutaelewa siasa lini? Au hujajua kuwa mbele ya pesa hata dini inawekwa pembeni? Hao si ndio waliosema 'mtumikie kafiiri upate mradi wako'? Wamempokea kwa shamrashamra, sio kwa sababu wanamkubali lakini kwa sababu alikuwa pale kwa ajili ya kuwapatia pesa za msikiti!
Asikudanganye mtu, vijana wote wa umri wangu na kuendelea, ambao enzi zetu hakukuwa na simu wala intaneti tuliziandika sana hizo barua. Hata kama si maneno hayohayo, bado tuliyaandika mengi yafananayo na hayo
Ni vizuri mkaanza kuuliza tatizo ni nini kabla hamjataja neno 'bomu'. Watanzania tumekuwaje, kila tusikiapo kitu kinapasuka tunakiita bomu? Je, transforma ulishawahi kuisikia ikilipuka siku moja? Habari kama hizi zaweza kuogofya watu, tuzichujeni kabla hatujazitoa!
Kama ni kweli kuwa Rais Nkurunzinza amepinduliwa huko Burundi, ni dhahiri shahiri kuwa sasa ngoma imegeuka na imemkalia yeye. Mara ya kwanza alipoitwa na marais wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ili kulijadili hilo swala, yeye ndiye aliyekuwa akibembelezwa kuwa abadili msimamo wake ili nchi...
Rais aende popote anapotaka. Ndio, ni haki yake kama Kiongozi mkubwa wa nchi. Na sisi Watanzania tuna haki pia ya kujua huko alikoenda alikwenda kwa minajili gani, ili tujue tumepata kitu gani huko. Sisi ndio tuliomuweka madarakani, sisi ndio atuwakilishao aendapo huko, na sisi ni lazima tujue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.