Hii ndiyo picha halisi ya jeshi la polisi. Hawana pa kujificha. Pia hotuba/taarifa ya kambi ya upinzani iliwasilishwa na Mheshimiwa Sugu kuhusiana vitendo vya ukiukwaji wa utawala bora na haki za binadamu. Jamaa zetu hawa ni vinara. Mauaji ya Waandishi wa Habari na Raia ni Vinara. Rushwa, tafiti...
Mbona hatuoni chochote tofauti licha ya kuwepo gesi ya Songas toka Mkuranga hapa jijini Dar? Hiyo gesi ya Mtwara itaongeza nini? Fanyeni miujiza kwa gesi hiyo tuliyonayo kwa sasa ya Songas na kisha tutafikiria baada ya miaka kadhaa kuleta ya Gesi ya Mtwara DAR
Umetokea mkanganyiko wa kauli kutoka kwa watendaji wa serikali, hususani wananchi kuhusiana na kunufaika na gesi ya Mtwara. Mfano mdogo tu ni wa Naibu Waziri Simbachewene ambaye anawashutumi wapinzani kuhusu kauli zao kwa wana-Mtwara. Sasa naamini kuwa hata James Mbatia, Mwenyekiti wa...
Angalia maoni haya pengine una cha kujifunza. Hawa jamaa sasa wamepevuka, tuwape nafasi na si kuwapuuza. Walikuwa nyuma siku na hata hizo raslimali za kwenu zimeshindwa kuwainua mpaka leo. Ndio maana hata wewe ukipangiwa ukafanye kazi kule, unakwenda kama siyo kukimbia kabisa na kubadili fani...
Tafadhali, naomba mnijulishe gharama ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, iliyojengwa miaka ya 2000 hadi 2002 kuanzia Ubungo mataa hadi Mlandizi Pwani. Pia kama mna taarifa za ziada. Je ulikuwa ni mkopo au pesa taslimu za Kitanzania. Pia naomba mnijulishe warrant/guarantee yake ilikuwa ni kwa...
Huyu msangi ni muuji wa kawaida na ni tabia yake. Kumtambua ni mwanzo mzuri wa kuanza mapambano yetu. Huyu ni adui namba moja wa madaktari na familia yake ni adui namba mbili. Kama aliazimia kuua na akaishia kutesa, kung'oa jino bila ganzi, kung'oa kucha, ni unyama tosha. yeye katumia bunduki...
Sijafurahishwa na kwa kitendo cha polisi/usalama wa taifa kumpiga hadi kumjeruhi vibaya dr. Ulimboka. Natambua kuwa hii ni tabia ya polisi. Wasione wao ni maana sana katika Tanzania hii. Kama ni bunduki na madaktari wanazo. kama ni kuuwa na madaktari wana uwezo wa kuua. Hii tabia ya ukibaraka...
Sijafurahishwa na kwa kitendo cha polisi/usalama wa taifa kumpiga hadi kumjeruhi vibaya dr. Ulimboka. Natambua kuwa hii ni tabia ya polisi. Wasione wao ni maana sana katika Tanzania hii. Kama ni bunduki na madaktari wanazo. kama ni kuuwa na madaktari wana uwezo wa kuua. Hii tabia ya ukibaraka...
Kweli usemi wa makupe ambao nyerere aliukemia sana, naona bado upo. Hili jamaa lina mawazo mgando. Waganga wanafanya kazi katika mazingira magumu mno. Jiulize kwa nini wao wanakimbilia india na ulaya? wamenyea kambi na wanaogopa kutaza kinyesi chao. Hawana hoja za msingi na hawawezi kujitetea...
Binafsi huyu jamaa sikuwahi kumtambua kama rais kwa sababu ya kuchakachua uchaguzi uliopita. Najua ameyaweka makopo mengi kulinda maslahi yake. Hata jamaa wengine wazuri aliowateua ameishia kuwalisha sumu. makopo yote hayafai, yameoza na yananuka. Nawaunga mkono madokta kwa sababu hii ndiyo...
Huyu jamaa na maoni ya kifisadi, huna aibu. Kupe mkubwa we... Na ninyi mtakuwa watu kwanza kutafuta pa kukimbilia. Angalia Syria, usifikiri jeshi litaunga mkono ujinga. Kote zilikoanza vuguvugu jeshi limejitenga.
Inasikitisha kupata news kama hizi.
Tafadhali, naomba tujadili hatima yetu na hatua za kuchukua na ikibidi kupanga mikakati! Naamini wana-usalama wa Taifa wapo kwenye jamii forum na wanaangalia tunachojadili.
Tujipangie Bengazi, Sirti, Mastira na Tripol ziwe wapi. Sisi ndiyo nchi na...
Inasikitisha kupata news kazi hizi.
Tafadhali, naomba tujadili hatima yetu na hatua za kuchukua na ikibidi kupanga mikakati! Naamini wana-usalama wa Taifa wapo kwenye jamii forum na wanaangalia tunachojadili.
Tujipangie Bengazi, Sirti, Mastira na Tripol. Sisi ndiyo nchi na serikali, na...
Ndugu Watanzania Wany'onge,
Nina masikitiko makubwa kwa hayo ambayo yanatendwa na walioshikilia dola. Kusomwa kwa mara ya pili kwa mswada na kushindwa kuwasikiliza walio wengi (Watanzania) kwa kusingizio cha kuwakilishwa na Wabunge wao, ni usaliti tosha. Kama walivyoongea wadau wengi kuhusu...
Ndugu Watanzania Wany'onge,
Nina masikitiko makubwa kwa hayo ambayo yanatendwa na walioshikilia dola. Kusomwa kwa mara ya pili kwa mswada na kushindwa kuwasikiliza walio wengi (Watanzania) kwa kusingizio cha kuwakilishwa na Wabunge wao, ni usaliti tosha. Kama walivyoongea wadau wengi kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.