Wandugu hili nimeuliza baada ya kuona vikiuzwa kwenye stationary moja hapa A.town. Ila niliwahi kusikia waziri wa mambo ya ndani akisema vitatolewa BURE. Naomba jibu.
Ni dhahiri kuwa mkutano wa ccm, ni faida kwa wafanyabiasha wadogo wadogo/wamachinga. Kwa kweli biashara ya maji, bagia, barafu, pipi, pamoja na juice. Mbali na hapo nape kaporosha matusi kikundi cha uamsho kwa kuwaita majambazi. Tusubiri majibu ya uamsho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.