Search results

  1. N

    Chadema baada ya kuwafukuza madiwani wao Arusha sasa wanataka walipwe pesa

    mkuu vp, ile ahadi yako ya kuwaletea/kuwawekea mawakili toka nje ya nchi umeishia wapi? Au ndo yaleyale. Basi wasaidie kuwalipa hizo gharama.
  2. N

    Kazi ya sensa watu wa Arusha vipi?

    jamani madiwani wamechakachua majina. F4 apata degree akosa.
  3. N

    Kazi ya sensa watu wa Arusha vipi?

    wandugu vp! Hamjatembelea wale jamaa wa sensa. Ebu mtujuze.
  4. N

    Kazi ya sensa watu wa Arusha vipi?

    A town hadi jana saa kumi na moja bado hawajatoa.
  5. N

    Kazi ya sensa watu wa Arusha vipi?

    vp wakuu mliopo Arusha mjini hiyo nafasi ya sensa vp, wameshatoa majina.?
  6. N

    Makinda "tayari" bado werema, muungano ni dhaifu kuliko wakati wowote uliopita "tundu lissu"

    sema kweli! Unataka kusema kakosa vitu vya ukweli.
  7. N

    Tundu Lissu afunguka bungeni

    kwani magazeti hutoa habari za uwongo? Kama magazeti yanatoa habari za kweli basi LISSU yuko sahihi.
  8. N

    Hivi vitambulisho vya utaifa na makazi vinauzwa?

    mkuu liver, kama uko arusha, tembelea kata ya TERRAT, KIJIJI CHA MKONOO pale centre.
  9. N

    Hivi vitambulisho vya utaifa na makazi vinauzwa?

    aisee hapa si bure. Nisaidia namba za TAKUKURU ili wabanwe.
  10. N

    Hivi vitambulisho vya utaifa na makazi vinauzwa?

    Wandugu hili nimeuliza baada ya kuona vikiuzwa kwenye stationary moja hapa A.town. Ila niliwahi kusikia waziri wa mambo ya ndani akisema vitatolewa BURE. Naomba jibu.
  11. N

    Kesi ya Uchaguzi Tandahimba ni Leo: Watu wanaelekea mahakamani hapa Mtwara Mjini

    nasikia mke kambania mmewe, kwa hiyo piga ua ni talaka tu. MTAFUTENI BABA PAROKO ASULUHISHE HII KESI YA NDOA. UNYUMBA UNATAABU KWELIKWELI
  12. N

    Duka la vitabu vya sheria

    Umetokeza mkuu!
  13. N

    Duka la vitabu vya sheria

    WanaBodi naombeni msaada. Maduka yanayouza vita vya SHERIA kwa MOSHI na ARUSHA ni wapi. Ninavihitaji sana.
  14. N

    Sheria: Kufanya mapenzi hadi na maiti!

    Hujawai mwona mwili wa mtu aliyekufa. Kifo hakizoeleki.
  15. N

    CCM yamwaga Mamilioni kuivaa CHADEMA; Watu wasombwa kwa malori

    Ni dhahiri kuwa mkutano wa ccm, ni faida kwa wafanyabiasha wadogo wadogo/wamachinga. Kwa kweli biashara ya maji, bagia, barafu, pipi, pamoja na juice. Mbali na hapo nape kaporosha matusi kikundi cha uamsho kwa kuwaita majambazi. Tusubiri majibu ya uamsho.
  16. N

    Kama sio DR. Slaa, Godbless Lema ndiye Rais 2015

    mafisadi wote, wana elimu kubwa. Kiongozi bora haupimwi kwa kigozo cha elimu.
  17. N

    Kama sio DR. Slaa, Godbless Lema ndiye Rais 2015

    Tatizo lako ni kuchangia mke na dingi, Lema kawaambia ukweli mnaona soo. DR. MATILDA ANAJUA YOTE
Back
Top Bottom