Search results

  1. Wilawela

    Magesa Mulongo: Dr. Faisal ni 'Msomali' anayeishi Tanzania kwa uraia wa kutatanisha

    Kama ni Teama lowassa/Ukawa na mwingine ni CCM kindakindaki ni wazi hawawezi kuelewana! Yaani ni serikali mseto!
  2. Wilawela

    Magesa Mulongo: Dr. Faisal ni 'Msomali' anayeishi Tanzania kwa uraia wa kutatanisha

    Kumbe ni team Lowassa! Now i'm connecting dots!
  3. Wilawela

    CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba

    wameshampongeza kimya kimya kwa kutimiza kazi waliyomtuma.
  4. Wilawela

    Mwandosya: Kumkejeli Warioba ilikuwa mbinu ya kupata ushindi

    But why did you use our money if you were not read for changes?!
  5. Wilawela

    Kitila Mkumbo: Dk Slaa ni Muadilifu na mchapa kazi mwenye nakisi ya hekima na weledi

    Hata Prof. Ernest Wamba dia Wamba, Prof. Masenge just to mention a few!
  6. Wilawela

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamis 2 Oktoba 2014 - Matokeo ya Kupitisha Ibara za Rasimu ya Katiba

    Hi Arola! Katiba siyo siasa! Katiba ni zaidi ya Siasa, Hii dhana inatugharimu sana wa TZ, naomba ianze kufutika kuanzia kwako. Katiba ni mahusinano kati ya watawala na Watawaliwa, Walipa kodi na watumia kodi, Namna bora ya kutawala na kutawaliwa, namna bora ya kulipa kodi na kutumia kodi, namna...
  7. Wilawela

    Dr. Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM, CHADEMA (Sehemu ya Pili)

    Hi Dr.Mkumbo! Lailiani Mayu! Habari za Masiku,pole kwa yote Rais wetu wa Zamani wa DARUSO. Nashukuru kwa mada yako nzuri lakini nina mchango ufuatao: Inaaminika kuwa Lengo Mahususi la Mkakati wa Mabadiliko 2013 na Movement yenu ni kutaka kuwafanya watanzania waamini kuwa Hakuna tofauti kati ya...
  8. Wilawela

    Zitto Kabwe: Sijamuoa mtoto wa rais Kikwete, sipo bungeni kwa ajili ya kupigana ngumi

    Tumia common sense tu majibu yote katoa Zitto Hapa chini "Akifafanua kuhusu mshahara wa Waziri Mkuu Zitto alisema Waziri Mkuu kama Mbunge analipwa Milioni 11.2, Kama Waziri anaongezewa kama Milioni 9.8 na kama Waziri Mkuu anaongezewa tena kama milioni 5 alisema Zitto. ".
  9. Wilawela

    Uchaguzi ndani ya NCCR Mageuzi wapamba moto

    Kafulila Mnafiki!
  10. Wilawela

    Watanzania ni Sikio la kufa,kama hamuamin subirin 2015..!

    Siku zote Huwa unaongea pointi na hauko baised i.e. Uko Objecives lakini leo umevunja record kwenye Nyekundu! Hongera sana!
  11. Wilawela

    Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

    Pumzika kwa Amani Judy,Amir na Ramadhan Amina.
  12. Wilawela

    Chaguzi mabaraza ya katiba; nimeshindwa na anayejua kusoma na kuandika tu,nimeambulia kura 1 tu

    Sokoro Mwita, hiyo Pingamizi ya Refferundum ndiyo wanayoitaka ili Tuendelee na Hii Katiba mbovu tuliyonayo kwa kufanya hivyo tunatekeleza malengo yao. Yaani Katiba ileile, Tume ileile Ushindi wa kishindo uleule!
  13. Wilawela

    Chaguzi mabaraza ya katiba; nimeshindwa na anayejua kusoma na kuandika tu,nimeambulia kura 1 tu

    Pole MP Aweda CCM kinafanya mzaha hata kwenye mambo ya Msingi! Kama wangekuacha wewe wakamchukua mtu mwenye merits ingekuwa Ok! Lakini! Hayo ya Ilala yapo Countrywide!
  14. Wilawela

    Chaguzi mabaraza ya katiba; nimeshindwa na anayejua kusoma na kuandika tu,nimeambulia kura 1 tu

    Msafiri CDM iliyaona mapema? Kuanzia kwenye sheria wakatoka nje ya Bunge tukawazomea, Ikaja Kwenye kutoa maoni ya kuboresha Muongozo hatukujali, Mwisho mkutano wa Temeke Mwisho baada ya Kutoka Bungeni Tundu alitoa Nondo.
  15. Wilawela

    Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

    Wakuu mkitaka kumhukumu zito soma Paragrafu yote hii,nachukulia mawazo yake chanya! Usichulie tungo ya Mwisho tu hutatenda haki . Nadhani kaeleza vyema! Kuna watu wanachukua mstari wa mwisho tu!
  16. Wilawela

    Muongozo kuhusu muundo, utaratibu wa kuwapata wajumbe wa mabaraza ya katiba

    Wadau nilihamasisha maoni Nimetoa Kama ifuatavyo(We must live the talk).Nimetimiza wajibu wangu Kazi kwenu. Mapendekezo ya Kuboresha Mwongozo wa Muundo ,Utaratibu wa Kuwapata Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya na Uendeshaji wake Tume ya Mabadiliko ya Katiba Katika Awamu ya Kwanza ilikuwa...
  17. Wilawela

    Muongozo kuhusu muundo, utaratibu wa kuwapata wajumbe wa mabaraza ya katiba

    Wadau Just a reminder! Mwisho wa kuboresha Mwongozo huu ni 14 Februari 2014,bado siku moja tu! Naomba kwa kusukumwa na uzalendo tuboreshee mwongozo huu siamini kama uko perfect!
  18. Wilawela

    Muongozo kuhusu muundo, utaratibu wa kuwapata wajumbe wa mabaraza ya katiba

    Wadau Just a reminder! Mwisho wa kuboresha Mwongozo huu ni 14 Februari 2014,bado siku moja tu! Naomba kwa kusukumwa na uzalendo tuboreshee mwongozo huu siamini kama uko perfect!
  19. Wilawela

    Muongozo kuhusu muundo, utaratibu wa kuwapata wajumbe wa mabaraza ya katiba

    Poa mkuu Nyalotsi Pamoja sana. Lakini ukipata fursa tusaidiane kupinga wajumbe kuchaguliwa na WDC, kata yote iitwe ,WDC ianadae mkutano tu na wananchi/wakazi wote wa Kata wawapigie kura wawakilishi wao wanne(4) ili wawe wawakilishi wa Kata na si wa WDC!
Back
Top Bottom