Adhabu nyingine pendekeza wewe kwa makosa hayo!!? Usiseme tu hakuna adhabu nyingine nenda mbele kidogo kwa kupendekeza aina ya adhabu ambayo wewe unadhani wanastahili mfano kupewa onyo na kuwa chini ya usimamizi wa mwaka mmoja
Sishabikii machinga kuwa barabarani lakini nahoji kwa nini barabara kubwa kama ile imepita katikati ya mji mkubwa kama Mbeya!? Kwanini isinge kwepeshwa kama kuanzia Uyole mpaka Mbalizi hivi!! Hata kama machnga wasingekuwepo hapo Mwanjelwa baada ya miaka 5 kutoka sasa bado kutakuwa na foleni kwa...
Sio outputs tu mkuu outcome and impact, mana kweneye M&E field output ni kitu kidogo sana like shule zao za kata ni output "utawasikia tumejenga shule 500" watalaamu tunauliza ufaulu ukoje kutoka hizo shule? hapo ndipo CCM hushindwa.
Ndugu Vikwazo;
Kuna mambo mawili nayaona hapa;
1: Hoja ya kwanza ni ukaidi na maslahi ya CCM na serikali yake, kwamba CDM walipendekeza kutazamwa upya kwa sheria na kanuni zinazoruhusu posho kwa mfumo mzima wa serikali. Lakini bwana Vikwazo utakubali au kukumbuka jinsi wabunge wa CCM walivyo...
Marando anawashambulia majukwaani akina Nape na wengine kwa kuwa walikwapua pesa na kuziingiza kwenye kampeni za CCM, ni swala limezungumzwa sana lakini kuwatetea sioni tatizo, kwani ndio kazi yake hiyo. UTATA UKO WAPI AU UNAFIKI UKO WAPI???
"
Acha kudumaza mawazo pevu na chanya kwenye ustawi wa nchi, kuachiwa huru kwa Jerry kwa mara nyingine tena inadhihirisha jinsi kiu ya haki na kweli haiwezi kushindwa kwa fitina, chuki na udhalimu wowote ule. Huu ni ushindi mkubwa kwa wachukia rushwa na aina yeyote ya udhalimu, na unyonyaji...
Kwa mujibu wa wanasheria kulikuwa na njia mbili tu 1) Rais asisaini muswada ili urudi bungeni upya kujadiliwa 2) Au asaini then urudishwe bungeni ukafanyiwe marekebisho then ausaini tena sheria ya gharama za uchaguzi.
Kwa maoni yangu CDM walimtega JK kumwambia asisaini muswada wakati...
Kuweka uhai zaidi kwenye mfano wa kwanza wa Kafulila CCM walifanya jumla ya mikutano 1000 ya kampeni mwaka jana lakini hakuna hata mkutano wao mmoja ambao walisema swala la Katiba japokua CDM na CUF walikua wakinadi hili. CCM ni wizi mtupu
Hakuna shaka juu ya uadilifu wa Dr Slaa, kwanza hao wakongwe wanamisimamo ya kitaifa zaidi ukiachana na popo wengine walio bungeni ambao wanajifanya hawajui balaa
Kuna hoja kama mbili tatu hivi Watanzania tunapaswa kuzifahamu
Ikumbukwe CCM si kwenye Ilani yao (2010-2015) na wala kwenye mikutano yao ya kampeni si ya udiwani, ubunge, wala urais hakuna hata sehemu moja walisema kwamba watabadili Katiba. Hivyo ni busara kwao kuwasikiliza wale waliosema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.