Da Mrema nadhani atakuwa alikuwa anaenda kujisaidia,inawezekana aliingia bungeni bila kupitia toilet sasa alivyoona wabunge wa chadema wanatoka akaamua naye aunganishe.nasema hivyo sababu najua mrema si mpinzani siku hizi
wadau wote wa JF katika column hii plse naomba mniambie faida ya nyumba ndogo na kwa nini wanaume walio wengi wanapenda nyumba ndogo,kuna jamaa yangu kaoa juzi tu lakini tayari kwa sasa ana nyumba ndogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.