hawa viongozi wa dini na wa jamii zetu kwa ujumla wangekuwa wanatuambia ukweli wa mambo tangu tunazaliwa ili tusishangae wala kupata kichefuchefu...mtu unalelewa kudanganywa kila wakati...wangesema ukweli kuhusu mambo mengi mf. ushoga, kukosekana uaminifu katika ndoa, etc. watu tungekuwa...
hao wanaotaka wife material most of the times wao wenyewe sio responsible in most aspects so wanataka mtu wa kuwashika wasidondoke,watu wa kuwatunza na kuwavumilia udhaifu wao kwa namna yoyote ile wakati inatakiwa wote tuwe na sifa za kuwa wenza bora coz hakuna mtu anakuwa strong and supportive...
eti wenyewe walioendelea wanasema usichague wa kumpenda na hawatilii maanani process ya ngono..wakati sisi huku cha kwanza kuwaza ni ile process inavyochefua na hawatuelewi kabisa na sisi tunawashangaa..majanga tu
nakubaliana na wewe,msaada kwa remote works all the time na mnabaki kuheshimiana,ile ya kuhemeana kila siku ni ngumu unaweza kupoteza kichwa kwa mawazo maana ni kujazana negativity tu hamna kujengana hata kwa ideas za maendeleo
jamani na sisi tunachoka!I f you want me to cater to all your needs then let me be a 100% wife,nikusaidie jukumu lako la kusaka pesa then I come home nifanye majukumu yote ya mke,hata kama ni woman wa Prov. 31 ni too much sasa!
wiki tatu zilizopita nilisikia tape mtaani kuhusu kutafuta pepo kwa kupunguza makafir! niliskitika sana coz tumesoma wote na kula wote miaka yote..why all this hate?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.