Mkuu hata kama wangekuwa wanajitambua,Mimi binafsi siamini kama mpiga kura wa Tanzania na kura yake kama inachagua kiongozi,yaani nyie watu kama mmeshindwa kujifunza kwa yaliyotokea Zanzibar 2015 basi nianze kuamini TZ hakuna upinzani wa kweli
Asante mkuu,hapa kwetu,hasahasa kwa wanaccm na mwenyekiti wao maendeleo ni flyovers,barabara,reli ya kiwango cha standard gauge na si elimu ya watoto wao na wajukuu wao.huku wakishangilia mwenyekiti wao kununua ndege,usiwaulize watoto wao wanakaa darasa moja watoto wangapi? Usiwaulize mwalimu...
Baada ya hayo nini impact yake? Je ajira mpya za watu wasio na vyeti feki zimetengenezwa?huduma za kijamii kwa maana ya afya,elimu nk zimeongezeka ubora kwa % ngapi? Je misheni town baada ya kuondoshwa maisha mameboreka kwa % ngapi?
Pasi ya kunyooshea hii nchi walishaiandaa watanzania kupitia Mzee walioba full stop,hizi siasa nyepesi anazofanya mtu wenu ni sawasawa na mtu kugandisha maji kwenye friza harafu anapita kwa watu wa dizaini yako akijisifu kuwa amebadirisha maji kuwa jiwe nawe ukapiga vigelele sana maana hujui...
Mkuu kumbuka yangu Tanzania ipate Uhuru 1961 hadi 1992 tulikuwa tunachagua mtu na kivuli,yaani kwa miaka 31 bila democrasia tulishidwa kumaliza tatizo la madawati,shule na barabara nyingi zimejengwa wakati wa democrasia ya vyama vingi,sasa wewe endelea kukariri,anachofanya ndugu yako si kwa...
Kwa kwa maelezo yako swala Hapa ni Chadema kukubali na si kumtafuta muharifu aliyetàka kutoà roho ya mtanzania mwenzetu right¿
Chief,I work for General mills but based in Malawi, I will be in Minneapolis- Minnesota from October 15th to December 20th,çan we meet,I believe ili kujustify kuishi...
Mkuu mbona USÀ kuna watu wengi wenye waledi wa hali ya juu sana na nchi hiyo imeendeleà sana,sasa wewe imekuwaje hata kucopy na kupaste ushiñdwe? Chadema nini mpaka ilipie gharama za uchunguzi? Au na wewe ni miongoni mwa wale watanzania wachache na serikali yao wanaoamini mtu kàmà si mwanaçcm...
mkuu kwa serikali hii ya ccm mtu yeyote ambaye si mwanaccm,mtu ambaye ni mwanachama wa chadema au CUF añahesàbika ñi mtànzàñia pale linapokuja suala la kulipà kodi tu,ila kwa mambo meñgine hahesabiki kama ni mtanzania hivyo hasitahiri kulindwa wala anaewaua wenzake hatakiwi kuchukuliwa hatua, by...
Ndiyo tunajua,ila walioweka hivyo vyeo pamoja walitegemea mtu 6eyote mwenye hadhi ya kuwa ràis awe professional, yaani ajue ñi wapi nafanya kama rais na nafanya kama mweyekiti wa ccm,bahati mbayà katika historia ya nchi yetu kwa Mara ya kwanzà nafasi hiyo imeshikiriwa na a very unprofessional...
Tanzania bwana vituko tu.why tusibadirishe katiba kwanza ili tuwe na time guru ya uchaguzi then tuingie ulingoni kutafuta Nani mbabe,sasa matokeo yaliotanganzwa na yule aliyeteuliwa na mgombeà mmoja wapo na aliyeambiwa kwa kuwa nàkulipa mshahara na kukupa gari ya kutembelea then umtangaze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.