Mke baada ya kujulikana kama ana ukimwi, alitubu, akawataja watu wake wawili ambao ndio alikuwa anakutana nao, mmoja ameshatangulia mbele za haki, anahisi huyo ndio alimuambukiza. ni mfanyakazi mwenzie ofisini anapofanyia. Mume alimkumbusha hayo maneno mkewe aliyomwambia miaka kama nane...
Mume wangu nakupenda sana, ujilinde, mimi siwezi kukulinda au kukuchunga kila uendapo, unaweza ukawa kuna mambo unayafanya ambayo mimi hutaki niyajue na wala sitaki nijue, Tafadhali sana lolote lile utakalofanya jua kuna ukimwi, Angalau ukumbuke kutumia kinga, kwakweli sitakusamehe wala...
Inawezekana kweli tunadanganyika kwenye hili. Unaongezewa (Figure) mshahara kwa kiwango ambacho ni chini kuliko kiasi cha gharama za maisha zilivyopanda. Hii inakuwa haileti maana yoyote. Pili inawezekana kabisa kwa kupungua kwa gharama za maisha (chakula etc) unaweza ukasema vilevile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.