Semeni mtakavyosema nyie magamba lema ndo mfalme wa arachunga na ndo atakayekomboa wananchi kwenye ili janga la chukua chako mapema lazima vipara viwaote kabla ya siku zenu
Mapepo ya sisisiemu yameshindwa ni aibu tu sisi tuna mungu waooo wanaela kushne kushne kikwete na serekali yako peopleeeeeeeeeeeeees poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer
Madaktari kuweni na huruma kwani wanaoumia nisisi wa hali ya chini na sio hao viongoz kwan wao wakiumwa kdogo wanaenda nje ndo maana hata awajali lakini ingekuwa pia na wao wanaenda hospital zetu hizi wangetekeleza waliyoyasema jamani wananchi tunalia kwa ajil ya hili tunapoteza maelfu ya ndugu...
Mimi ni mfanyakazi katika kampuni moja ya kitalii uku ngorongoro.Kwa kipindi sasa nimekua nikifuatilia utendaji wa uyu bwana kuanzia bungeni kwenye uwakilishi wake kwa wananchi mpaka utendaji wake jimboni kwake.
Nikianzia bungeni kwanza upeo wake wa kuwasilisha matatizo ya wananchi ni...
yani hata miminimechoka wana jamii manake hata birthday watu wanaomba mchango eti wanakuja na kitambaa cha sare ya birthday eti wanataka uwachangie bado uvae sare ya birthday, zawadi, kumtunza mama wa mtoto mh aibu imezidi.
tangu lini mtoto wa bagamoyo akawa rais na wakati fani yake sangoma ndo atajuta kwanini alichakachua kura na bado huo ni mwaka ajamaliza mpaka ifike mitano atakufa na presha mwisho wenu magamba umefika poleeeeeeee saaaana chademaaaa oyeeeee watoto wakiumen big up makamanda nyie watishien...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.