Mwanaharakati ni mtetezi wa wanyonge na anayepinga mabaya yasitokee kwa jamii.
Mwanasiasa ni mtu anayejihusisha na siasa lakini anaweza asiwe mtetezi wa wanyonge.
Mwanaharakati anaweza kuwa mwanasiasa ili aweze kuitetea jamii kupitia madaraka yake.
Jana bungeni ktk majadiliano ya sakata la nishati na madini,Mh.Dalali kafumu anatajwa km muhusika wa ulaji wa rushwa kwa ushahidi wa kupokea posho ya sh.5 na elfu thelathini kinyume na sheria.Kitendo kilichotokea kabla hajawa mbunge wa Igunga.
Je chama cha mapinduzi kina nia nzuri ya kufuga...
Sawa ni wazo zuri sasa vijana wenye age ya 30's kuwa viongozi wa juu yaani umwenyekiti,but kwa chama cha CHADEMA kilichopo chini ya serikali kandamizi ya CCM maandamano huru yasiyo na vurugu yanaitajika.Serikali yetu haisikii until effects seen.Mh.Mnyika kuwa mwenyekiti atapata kibarua kigumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.