We kwanza hata sidhani kama unasomesha au unawatoto. Kama unaufahamu kwa mimi tuu kukuambia watoto wangu nawasomesha hapo na sina mpango kuwatoa basi itoshe kukaa akilini kwako kua shule ni nzuri.
Nimeuwona uwezo wa watoto wangu tokea wanaanza na wanavyo kua kiakili, kielimu na uwezo wao...
Mimi personally watoto wangu wawili nawasomesha hapo na siwezi kuwahamisha, it is one of the best schools. Angalia matokeo yake kimkoa na hata kiwilaya imafanya vizuri sana.
Alieanzisha mada hii hata hana alijualo kuhusu shule hii.
Hehehehe Mkuu umenifurahisha na jibu lako. Hawa watu wengine wanakuaga wagumu kufikiri sasa sijui altaka mwanae apewe interview ya dakika moja na somo moja ndo aridhike. :)
We bibie sasa ulitaka wapewe mtihani mmoja? Kama wamepewa masomo manne na hayo masaa manne inamaana kila somo watumie lisaa limoja kufanya.
Rightway ni shule nzuri sana na ni adimu kupata chance pale kwa jinsi ninavyojua. Mimi hoja yako uliyotoa hapa naona haina mashiko kabisa, jipange.
Thanks brother! Ukiwa muaminifu na ukiwauzia watu kitu Cha uhakika inakua rahisi hata next time kuaminika ukitaka kuuZa product nyingine! Asante kwa feed back kaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.