Dah umenitonesha kidonda mkuu..nakumbuka walivyonitia cost week 2 zilizopita yaani walinitoa mbali toka moro mpaka dar halafu vocha ili uwapigie wakuelekeze nakumbuka dat day town kulikua na mvua ikabidi ninunue tena mwamvuli pale ubungo aah baadae nikakutana na mautumbo ile laana mdau frankly...
Hakuna the great wala the greatest jamani yani mtu kukaa mbele ya camera sebuleni au kupanda na kuendesha gari kuogelea ndo ugreat...sawaa cha nyumbani bt there is no great at al on what they did and what they can stil do jamani jamani ivi amuwatch kitu kama apocalyto,final destination and...
Movies zetu wachekeshaji wetu hawachekeshi mpaka wakunje sura au wavae nguo zilizotoboka wakikasirika basi ni kelele mtindo m1,risasi zinapigwa na anayepigwa kajificha upande wa gari lakini hata kioo hakivunjiki kanumba na majumba tuuuu wazee wale wale majina yao sasa birthday cake i hate my...
Mshkaji mmoja alikua na dingi yake akamwona demu wake anakuja bahati mbaya dingi alikuwa mkali na mazungumzo yao yalikua hivi.
MSHIKAJI;umekuja kuchukua kile kitabu cha speak english my farther dsn't knw?
DEMU;yeah na kile cha where should i wait you
MSHKAJI;Dah!hicho hakipo labda kile cha...
Duh kweli rais hatuna yaani 2012 watu wanahoji ya 2015 my gosh we should hav to focus on geting the perfect 1 ili mda kama huu tunakua tunapeana raha tu jamvini kutokana na deliverties za mr president.....
I am the new member of jf(home of great thinker)...i am very happy to get in to the site where i can share a lot with u guyz....mmmh i just dont hav much to express instead of giving u all much regard
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.