Search results

  1. W

    Wanawake 50% kwa 50% tumedandia trneni kwa mbele, tujipange upya..

    wanawake tumekuwa ktk mstari wa mbele kudai HAKI na FURSA SAWA kwa wote (50% kwa 50%) mbona majukumu ya familia tunayakwepa??? tena na majina kibao ya kuwadhalilisha wenzi wetu, (sharobaro, mwanaume suruali, nk) tutaongozaje jamii na taifa kama hatuwezi kuongoza familia zetu? Namaanisha...
  2. W

    Sababu za miaka 50 ya uhuru wa Tz na Mwanamke wa TZ hizi hapa:

    Unadhani sis kama wanawake wa tz tuna sababu yakusherekea miaka 50 ya uhuru? Tumefanikiwa nini mpaka sasa? kama kuna chochote tumenufaika toka uhuru mpaka sahivi tukiseme...
  3. W

    Mdahalo kesho star tv

    muda bado upo *nadhani ingekuwa vyema kupendekeza mtu mwingine fasta waandaaji wakafanyia kazi maana naamini wako hapa...*
  4. W

    Wanawake Live TV SHOW: Mwanamke wa Kisasa yupoje?

    yupi bora kati ya wa zamani na sasa?
  5. W

    Wanawake Live TV SHOW: Mwanamke wa Kisasa yupoje?

    *Tunafuraha kujiunga na jukwaa hili kwa mara ya kwanza, lkn kikazi zaidi. *Tungependa kufahamu mwanamke wa kisasa yukoje? Maoni yako ni muhimu sana kwetu. Asante
Back
Top Bottom