DStv Tanzania mmeamua kutuibia waziwazi au watu wenu wa huduma kwa wateja hawajui wanafanya nini.
Nimewapigia simu kabla sijanunua kifurushi wakanihakikishia ya kuwa ntapata kifurushi cha juu yake badala yake wakaanza kuleta stori ya kuwa kifurushi kilikuwa upgrade kutoka January.
Kama kuna...
Hauwezi kufanya taratibu bila kuwa na namba ya bastola na aina. Nataka kujua nikinunua nani anakuwa custodian wa silaha yangu mpaka hapo ntakapo kamilisha taratibu za kiserikali
utaratibu wa kumiliki naufahamu, tatizo hauelezei namna ya kuingiza kutoka nje ya nchi. Kitu ninayotaka haipo kwenye maduka yetu ya ngome ya tanganyika arms
Habari wanajamvini
Nimepita Tanganyika Arms kwa lengo la kujua utaratibu wa kuingiza silaha (bastola) kwa ajili ya matumizi binafsi lakini sikufanikiwa kupata majibu. Naomba muongozo kwa anayefahamu utaratibu wa kuingiza kifaa hiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.