Mheshimiwa Ahmad Rashid apambane na asiogope hakuna mtu mwenye hati miliki ya siasa za nchi kila mtu ana haki ya kushiriki katika siasa za nchi. Maalim seif amekwisha nogewa.
Ila na wewe uache tabia ya kuwasakama wapambanaji wengine kama CHADEMA. Chama chenu kimepoteza mwelekeo na sasa...
Nchi yetu ilipoingia katika mfumo wa vyam vingi haikuandaa mazingira mapya ya siasa nadio chanzo kikubwa cha migogoro. Chama Tawala hakikuruhusu mfumo huo kwa moyo mweupe. Katiba ya nchi iliendelea kuwa na vikwazo vingi kwa watu kushiriki kikamilifu katika siasa na badala yake kila chama kikawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.