Wewe uliyeandika hii habari huna majini kweli wewe? Wewe siyo pepo unayetumiwa na baba yako shetani! Shetani baba wa uongo nyamaza kimya katika Jina la Yesu!
Pepo uongo wako kwisha! Askofu Kakobe kila Jumapili yuko Kanisani kwake akikukung'uta halafu leo unataka kudanganya watu kwamba amehamia...
Mikorogo, mawigi, makope, na mauchafu mengine ya kazi gani??? Mungu angetaka uwe na makope, angeshindwa nini kuyaweka? Lakini amekuumba hivyo ulivyo akakutofautisha na paka! Tujikubali!!!!!!
Wewe thibitisha kwamba Askofu Kakobe alitafuta au alitamani kuwamo katika Bunge la Katiba.
Rudia tena waraka wake uone. NA NINAVYOMJUA ASKOFU KAKOBE HATA ANGETEULIWA ASINGEKWENDA, SIYO WITO WAKE HUO.
Kama ni hasira, basi, kwa kuwa najua ni uongo, ndiyo sababu naukasirikia uzushi wake huyo anayesema Askofu Kakobe anajiandaa kuhamia kwenye tawi lake Boston..... anadanganya watu, na wale wasiofanya utafiti ni rahisi kuamini kama walivyodanganywa kwamba Kakobe anatumia uchawi wa Nigeria...
Wewe tuthibitishie hapa kwamba Askofu Kakobe "Anajiandaa" kuhamia Boston. Umejuaje? Na ni maandalizi gani anafanya ya kuhamia Boston? Na anapohamia huko Kanisa la Mwenge anamwachia nani? Kumbuka hili ni jukwaa la Great Thinkers na siyo Narrow Minded. Kwa hiyo tuthibitishie hapa. Otherwise, eidha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.