Mie ni mpenzi sana wa sedans na nilipanga nikibadili gari basi nihamie Mazda Atenza. Changamoto imekuja kwenye makazi ya kudumu. Umbali wa kutoka nyumbani (rough road) ni 7km (return) hadi kufika barabara ya lami. Barabara si rafiki kwa sedans au hatchback/station wagons. Nilibadili uamuzi...
Image ya kwanza juu kidogo ifanane na ya 'Jane Doe', mhusika maiti kwenye filamu ya kutisha iitwayo 'The Autopsy of Jane Doe (2016)'.
Weka mbali na watoto.
I have a friend ambaye mwaka jana alikuwa anataka gari. Nikamuelekeza aangalie kwenye site ya Be Forward. Alipata gari atakayo ila ikawa ni ya Singapore (huwa zimeandikwa THIRD PARTY SELLER). Nikamwambia aachane na ya Singapore.
Akapata nyingine ya Japan na nikamuelekeza aende kwenye ofisi za...
Ungekuwa umepekua vizuri humu ungepata kujua kuwa kwa magari ya kutoka Singapore, huwa hakuna mkaguzi.
Yale magari huwa yanakuja hivyo hivyo. Na ishasemwa humu gari za Singapore body huwa zuri. Wahuni sana wale. Ila injini na gearbox huwa shida.
Kingine ni kwamba kwa zile gari za Singapore...
Niliwahi kuwa na girlfriend ambaye aliwahi kunichana kuwa hawezi kuwa/kulala na mtu anayekoroma. Mie niliwahi kuambiwa mara kadhaa kuwa sometimes ninakoroma usiku. Siku ya siku tukalala pamoja na huyo girlfriend........aisee sikuamini kuwa ni yeye aliyesema hawezi lala na mtu anayekoroma maana...
Huyu jamaa nilikutana naye mwaka jana Lake Oil petrol station pale Tabata njia panda ya kwenda Segerea/Kimanga. Akanipa story hiyohiyo ya kuwa ni mwl alitumbuliwa na sasa kapata kazi na anatakiwa kuripoti kazini siku inayofuata.
Muda huo nilikuwa nimetoka kujaza mafuta kwenye gari. Ilikuwa saa...
Hiyo barabara ilikuwa ijengwe kwa lami kuendeleza ile barabara ya Mbezi Kinyerezi. Kilichotokea sasa..... lami imepelekwa Kibamba Chama kwenda Kibwegere.
Wanawake wengi hucheza kitu tunaita 'victim card'. Hata mke wa mtu akijitongozesha kwako, atasema yeye ni mhanga wa mambo fulani ili umuonee huruma. Ndio hawa watoto sasa. Kuna matukio makubwa tu.
Kuna mwanafunzi (KE) aliwahi kuingia kwenye gari ya mhadhiri aende nae kwake akapewe mambo...
Hata sihangaiki nao. Hawa wanafunzi wanapenda 'kiki'. Ukitoka naye, huwa wanatangaza. Yakifika kwenye management, kamati huundwa kuchunguza. Ukibainika, kazi huna. Wahadhiri wengi tu wamefutwa kazi kwa sababu ya haya masuala (violation of code of conduct).
Si kwamba ninaunga mkono haya yanayoendelea, ila watoto wa kike siku hizi wamekuwa wahuni sana. Wao wenyewe wanakwambia kwenye mikoba yao morning after pills hazikosekani. Wanafanya sana ngono zembe.
Mimi ni mdau kwenye elimu ya juu kwenye chuo kimoja kikongwe hapa nchini. Kwa semista moja...
Inapigaje? Hapo ndipo swali lilipokuwa. Kama inapokea moto (i.e. akiwela ON dashboard inawaka) ila gari haiwaki, tayari kuweka D, huenda terminals zimelegea. Ilishawahi nitokea. Baada ya kuzikaza terminals vzr, iliwaka. Haya wewe uliyedhani ni fuel pump/mafuta hakuna, limekuwa ni jibu sahihi la...
Hili swali aliwahi kuulizwa bosi wa TANROADS kuwa kama ujenzi wa barabara za zege ni nafuu, kwanini zisijengwe hizo badala ya lami! Alijibu kwamba ni kweli gharama ni nafuu ila wanazijenga zaidi sehemu korofi zenye majimaji chini.
Akasema changamoto za hizi barabara ni kukosa 'smoothness' na...
Wengi walikuwa wananifanyia hivi. Na walikuwa wanasema niwakopeshe. Ila baada ya kushindwa kulipa madeni (kuingia mitini) wote wamepotea. Siku hizi ninaweza maliza miezi 4 bila mtu kuomba pesa. Zamani msg tu zilikuwa zinapishana. Pia kuna ndugu wale ambao wanakutafuta pale tu wakiwa na shida ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.