Mashilambah;3193511]nimezaliwa tabora isevya , tatizo mojawapo la kuwa nyuma ni hawa waarabu maana biashara zote wamekamata wao na wanaabudiwa sana na viongozi. kubwa zaidi UHIRIKINA![
nimezaliwa tabora isevya , tatizo mojawapo la kuwa nyuma ni hawa waarabu maana biashara zote wamekamata wao na wanaabudiwa sana na viongozi. kubwa zaidi UHIRIKINA!
kama viongozi wa nchi na wasomi hawana ubunifu unategemea nini kwa vijana kama hao ambao hata elimu yao ni ya mashaka.kama huyo ray kipaji zero Kabisa, watazamaji wao wengi ni ma house girl na mashangingi. ushauri wangu waende chuo cha bagamoyo. PENYE NIA PANA NJIA!!!!!
jamani kibonde anamanisha kwa safair ndefu ni vizuri kuwa na msaidizi[dereva] kwa mtu TEGEMEO NA MPIGANAJI kama REGIA. Nadhani uongozi wa CHADEMA watafanyia kazi swala hili...x R.I.P REGIA.
mkuu tatizo kubwa la ITV hawaangalii VIPAJI wanaangalia VYETI na VI MEMO katika kupata watngazaji, vile vile ITV hamna ubunifu kwa kweli inabidi wajipange maaana kuna wenzao wanakuja kasi na vizuri sana. EATV wanafanya vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.