Huyu anadhani uwaziri ni Kufunga shule na kufukuza walimu, ingawa hajathubutu kufunga shule yake mwenyewe isiyo na sifa hata kuitwa sekondari! ni vema nayeye awajibishwe katika hili
kamanda wa polisi mkoa wa Iringa usifanye kama aliyofanya jirani yako wa Mji kasoro bahari. CCM haibebeki hata kwa turubai. Nadhani utakuwa aware na hilo!
Habari za mbolea ya minjingu zilikuwa na umuhimu gani kwa huyu mtoto wa mkulima? hata mimi nisingethubutu kumpigia makofi! ukimya ule nayo ni mawasiliano, nadhani kuna ujumbe kaupata.
Wanaacha kufanya kazi walizotumwa na wananchi, muda wote kuangalia picha za ngono ofisini. Ndio maana wakiambiwa waachie ofisi zao hawataki kumbe ni hayo mambo ya kijinga!
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu! anafuata ya baba yake JK. Wote akili zao marekaniiiiiiiiii! safari hii bajeti ya taifa hili inapangwa hukohuko marekani, sijui kama hazina ina kitu mpaka muda huu! nahisi bajeti ya safari hii itakuwa ombaomba tu kwa wahsani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.