Search results

  1. M

    TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

    Nataka kuona utendaji makini WA TCRA katika hili. TBC ni mali ya watanzania wote inakuwaje wanaonesha upendeleo huo waziwazi???
  2. M

    Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    Habari wanajf, naombeni kufahamu matokeo ya kura za maoni katika jambo lako kwa vyama vyote kama umeyapata. Ahsante!
  3. M

    G. Lema anaongoza vurugu muda huu katika kituo cha kupiga kura Osterbay Arusha

    Utakuwa mgonjwa wa akili wewe! Enzi za magamba zimekwisha!
  4. M

    Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

    Huyu anadhani uwaziri ni Kufunga shule na kufukuza walimu, ingawa hajathubutu kufunga shule yake mwenyewe isiyo na sifa hata kuitwa sekondari! ni vema nayeye awajibishwe katika hili
  5. M

    Matokeo ya Uchaguzi wa Madiwani October 28, 2012

    Naomba kujulishwa matokeo ya uchaguzi wa madiwani uliofanyika leo Jumapili Tar 28/10/2012
  6. M

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Swali hili kawapelekee ndugu zako magamba! unaonekana umetumwa wewe!
  7. M

    M4C kutua Iringa mjini kesho

    kamanda wa polisi mkoa wa Iringa usifanye kama aliyofanya jirani yako wa Mji kasoro bahari. CCM haibebeki hata kwa turubai. Nadhani utakuwa aware na hilo!
  8. M

    Morogoro: Viongozi wa CHADEMA wakamatwa na polisi, vurugu zaibuka!

    Kamanda kasema yaliyo ya kweli! hiyo kauli hata mimi nimeipenda mno! hakuna anayeweza kuuzima moto wa chadema, hizo ni mvua za vuli bado masika.
  9. M

    Shibuda kufukuzwa CHADEMA

    Tume ya nini jamani huyu mtu tumechoka naye. kazi yake kuvuruga chama. avuliwe magwanda aende kwa hao magamba nadhani ndo stahili yake.
  10. M

    John Shibuda na mgogoro wa Kauli ya kuisifia CCM; Kauli za wana CHADEMA

    Bavicha wasithubutu kumwomba radhi shibuda, huyo ni gamba ndani ya cdm. bavicha mmeonesha ukomavu, huyo shibuda si mwenzetu
  11. M

    Madiwani wa CHADEMA kata ya Kitangiri na Igoma wanyang'anywa kadi za uanachama

    Wazee wa CDM tuondoleeni na huyo Shibuda, ni mzigo tu hana mchango wowote kwenye chama. Ni heri tukose mbunge kulikon kuwa na Shibuda. inauma!!!!
  12. M

    Katika hili siyo siri mh. Jk hapa umechemsha.

    CCM imepata mke wa pili! haya kazi kazi kwako kuwalea hao wake zako kwa jasho la walala hoi!
  13. M

    Natafuta mume wa maisha...!

    Ni vema ungepost reception yako kwanza! wengine hatuko interested sana na umri wala umbo. Reception kwanza!
  14. M

    Zitto, Deo Filikunjomba na Nape watakuwa kwenye Jahazi jioni hii

    Habari za mbolea ya minjingu zilikuwa na umuhimu gani kwa huyu mtoto wa mkulima? hata mimi nisingethubutu kumpigia makofi! ukimya ule nayo ni mawasiliano, nadhani kuna ujumbe kaupata.
  15. M

    Tovuti ya wizara inaonyesha picha za ngono!!!

    Wanaacha kufanya kazi walizotumwa na wananchi, muda wote kuangalia picha za ngono ofisini. Ndio maana wakiambiwa waachie ofisi zao hawataki kumbe ni hayo mambo ya kijinga!
  16. M

    Yu wapi Sitta?

    Huyu ni miongoni mwa wale wahitaji wa urais 2015, kwenye hili sakata hawezi kuonekana!
  17. M

    Kata zilizoko wazi mpaka leo!

    Kata ya Mpapa,Jimbo la Mbozi Magharibi(alifariki). Huyu alikuwa mtumwa wa magamba!
  18. M

    Wabunge wa CCm waliotia sahihi maisha yao hatarini.

    huyu nadhani wa mikoani,magazeti yanachelewa kufika. kwake yeye hii breaking news!mwacheni jamani ni mtu wetu huyo.
  19. M

    Mkulo: Unaiponza serikali yako

    Mtoto wa nyoka ni nyoka tu! anafuata ya baba yake JK. Wote akili zao marekaniiiiiiiiii! safari hii bajeti ya taifa hili inapangwa hukohuko marekani, sijui kama hazina ina kitu mpaka muda huu! nahisi bajeti ya safari hii itakuwa ombaomba tu kwa wahsani
Back
Top Bottom