Unahisi ni rahisi km unavodhan?,izo computer chache zinanunuliwa na mawe?fresh from school ata sh 10 hajashika ya mshahara atazitoa wapi?usifanane na wazee wafursa wanaotaka kutangaza media zao.
Wasanii wa kike mnauwezo wa kutoka kimzki bila kutumia miili yenu kuboresha kazi zenu,haina haja ya kuImba kwa nusu uchi au kutumia nyonga sana ivyo vyote haviusiani na ubora wa muziki wk,wanaume wanaimba wakiwa wamevaa vizuri na kazi zao tunazipenda.
Snura unaharibikiwa ulikuja vizuri lkn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.