chadema wamefurahi sana kupiga picha na Rais yaani baada ya kupiga picha meno 32 ya mbowe na safari, baregu mnyika yameonekana, kweli wapinzani wetu ni vichekesho.
Leo Rais Jakaya Mrisho Kikwete anakutana na ujumbe na viongozi wa CHADEMA ikulu kwa mazungumzo ya kujadili muswada uliopitishwa na Bunge ambapo wabunge wa chadema walitoka nje eti hawaukubali.
wakati waliishawahi kutoka ndani ya bunge kwa hoja eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani Rais...
wana njaa tu, wanajipeleka kwa kikwete namna hiyo, kweli viongozi wa siasa cdm hamna, MH kikwete wape chai, na bahasha hao, ni njaa ndio inayowasumbua.
Viongozi wa chadema wanatembea na lebo ya bei nyuma ya migongo yao, usipate tabu kikwete waambie wageuke utaona bei yao, wamejileta wenyewe hao kwa njaa zao, thamani yao ni ndogo mno.
imekuwa nikiwasikia kila wanapoongelea muungano utawasikia sera yetu kuhusu muungano ni serikali 3, sera ndio hasa chanzo cha ugomvi kati ya nyerere na maalim sefu juu ya mfumo wa muungano na kupelekea yeye na wenzake watano kufukuzwa CCM, hii sera ya CUF tangu ilipoanzishwa 1992 na wanaendelea...
Jamani Lipumba yuko us alipata bahati kati ya maprofessor 360 duniani walio omba na kufanikiwa kuwa kati ya maprofessor 16 na yeye akishika nafasi ya 2, wapo shirika la uchumi la umoja wa mataifa wanashughulikia mtikisiko wa uchumi Duniani, usiwe na wasi wasi mwezi wa 2 atarejea baada ya...
tatizo la wafuasi wa chadema wengi bado wajinga wa siasa wao wanavyotaka kila mtu awe chadema, na huwa hawataki kupingwa, kwao hoja ya nguvu badala nguvu ya hoja.
ukifuatilia siasa za chadema na wanachama na wafuasi wa chadema tatizo lao kwa serikali hii ni kikwete tatizo lake wanaomlalamikia sijui ni utendaji mbovu wa kazi au dini yake, maana kauli yake utawasikia aondoke ameshindwa, ameshindwa ni bora mkapa, bora angelikuwa Lowasa, Lakini huyu mvaa...
Maneno makali ya dharau yaliyotolewa na mb tundu Lissu jana kwa kweli yaliwafadhaisha wabunge wa chadema viti maalum Mh Raya hamisi na mwenzie kwa kweli niliwaona wameinamisha vichwa vyao chini wakijutia maamuzi ya wao kujiunga na chama hicho, maana hii imekuwa ni kawaida kwa Mh Lissu na...
mbunge wa Arusha mjini Godbless leo ataletwa mahakani kwa ajili ya kusikiliza kesi inayomkabili pamoja na wanachama wenzake 25 ambapo baadhi walipata dhamana lakini mh Lema aligomea dhamana yake na kudai kesi hiyo ifutwe, baadhi ya wanachama wa chadema walimfananisha na Mandela lakini mandela...
mbatia ni kiongozi imara yote yaliyoandikwa na muhibu ni uongo mtupu hakuna ukweli hata chembe, kesi ya mbatia imemng'ang'ania mdee, nampongeza mbatia kwa kusimamia sheria za uchaguzi bila kujali wanaovunja ni wapinzani au wa chama tawala.
CUF ni wanaume wa kweli walimtoa jasho mkapa mpaka mwenyewe likamtoka la moyoni ooh nilikuwa sipati usingizi sasa nitalala, naamini CUF kwa sasa wanapiga jaramba si mbali 2015 watachukua nafasi yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.