Tena Kenge ni wa muhimu kuliko inavyofikirika yote ni ili wafanikishe mambo fulanifulani! Kwan mbona ata wakuu wa wizara ya madiii na nishaaa walivunga kuwa Kangez ili wamlinde mshikaj, du ila issue imewageukia na kwa ss inaonekana kuwa ya Makengezzzz....
Hiv wakuu ikitokea MB kama huyo akachafua hewa mjengoni wakati kama huo waheshimiwa wakiwa wanatoa hoja zao nzur nzur na za msingi muongozo wa spika unasemaje? Ahsanteni sana...
Mi nadhani walivyoongea waheshimiwa hapo juu wamejarb kwa kiac kikubwa na kama mheshimiwa haujaridhika naomba nisubir nimuulize huyu bint aliyeko mbali nami,"eti we mdada nyie huwa mnavutiwa na nini katika mahusiano"? Tungoje jibu toka kwake manake yy ndo mhusika mkuu....
Vipi huyo "mchumba-serious plis no jokes ni nani? Ss huku kwe2 hatumfahamu labda jarb kwenye facebook au twitter wenda wanampata na unaweza pata taarifa zake kwa undan zaidi! Duh....umechemka vibaya,pole sana!
Au kwa ushaur mbaya zaidi manake tabia ni kama ngozi ya mwili,kwa kuwa u see u can not stop from thinkin on her na wala ukimwona tena huwez kuacha kushtuka,endelea kushtukashtuka na utapo pass away wanao na mkeo ndo watashtuka zaidi ya unavyo shtuka ww kwa ss!!!! CKU NJEMA....!
Kwakua wenda mlishadu, ndo maandiko yatadhihirika hapo na ndo maana 2nashauriwa kuacha kudu mpaka wote 2 mtakapofikia umri wa kutosha na kuweza kuishi pamoja. Tofauti na hapo my friend ni vema uka2bu ili kuacha kukumbuka au kufikiria uchafu huo mliowahi kuufanya la sivyo utaendelea...
Lipi jema,kuliko kumwaga mchele penye kuku wegi kwann ucpige magoti na kumuomba ur Lord akusaidie? Vp ukimpata KIBAKA then baadae akusumbue hadi uone hamna haja ya kuoa tena,huoni utakuwa umejinyima haki yako na kupingana na maandiko matakatifu.....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.