Mi nadhani, hili tatizo la wabunge wetu kuuchapa usingizi mjengoni, linazidi kukua siku hadi siku,tusipoangalia inawezekana siku moja,tukamshuhudia Spika wa Bunge naye akiwaunga mkono hawa "wazee wa kutafakari" kwa kuuchapa usingizi. Sijui nani ataendesha mjadala sasa? Nadhani hapo ndipo...
CAG naye ni binadamu,anaweza kupotoka na kutenda makosa kama tulivyo sisi, hivyo basi tusiondoe uwezekano wa yeye kutumiwa na baadhi ya watu, kwa maslahi binafsi kwani hili pia linawezekana. Kuitwa Mkaguzi mkuu sio tija, naye pia anaweza kupindisha baadhi ya mambo, kwa ajili ya tumbo lake kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.