Kwenye die hard five ya 2013 tu nlikaona ka-vitz...
Isitoshe wao wenyewe wnajua hasara ya hayo mashangingi ndo maana hawayaendeshi ovyo...
C'mon man badili mtazamo wako uwe na fikra chanya kuhusu hili...
Ni hayo tu
Hii ni point kabsaaa...tatizo watu wanafikiri mziki ni kufanya kitu ambacho wachache tu wanakipenda.
Unakfanya kitu watu wengi waridhike.kufanya kazi ili watu wengi iwezekanavyo waridhike.
Nashanga mijitu mingine haina uzalendo na vya kwao.
Dogo anapiga mzigo, chuki zako peleka kuleeee...
Jamani mi nataka kujuzwa...kwani izo bei ni nani hasa pale TRA ndo wanazipanga...coz mnaweza lalamikia staffs wote kumbe kuna mijitu imeamua tu kukomoa watz...
Kwa hiyo ndo kusema town hakuna wanawake wa kuoa,ila ukiwa na gari unakidhi haja then unasepa....
Hii mitazamo imetisha...
FA kasema usije mjini, ndo naamini sasa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.