We akili huna hivi mtu anaweza kujirekodi upuuzi ule ili iweje mi cna chama nilivyosikiliza tu audio nikajua fake.....yaani mm nitongoze mwanamke halafu nijirekodi ni mambumbu tu ndio watakaomini
Zinapatikana kwenye shop zao nenda mliman city na kuna vijana wengi wanatembeza hilo bando ni hatari mi nalipaga buku kwa 10gb naseti torrent zangu asubui mzigo wote Kenosha ...speed yake ni hatar...mkuu ni 4g hio na pia 3g yao pia ni shida wao wanatumia fiber
TTCL kwa kweli mmenifurahisha na bando lenu la toboa hatulali tunakesha kwenye torrents. Yaani buku kwa 10GB kuanzia saa 6 ucku kwa kweli ni raha tupu.
Ombi langu kwenu harakisheni kusambaza mtandao nchi nzima soko la mobile bado liko wazi kama mimi sijaweka bando mtandao mwingine nna mwezi...
Ndio wameanza wapeni mda kuweka BTS ni guarana hata hao wengine walianza mdogo mdogo ukiondoa halotel ......ttcl wanatumia hela wanazokusanya kwenye biashara ya fixed network kufanya investment kwenye mobile ila mtandao wao kwa kweli uko vzur balaa mwanza huku mitandao mingine nmetupa kule mana...
Kampunia ya simu Tanzania TTCL imezindua huduma ya 4g/LTE Mwanza. Tumeona speed yenu kwa kweli nimeinjoy leo baada ya kununua line yenu, lakini tunaomba huduma hii ambayo imezinduliwa kwa maeneo hasa ya jiji kwenda barabara ya Airpot mwisho coverage airpot kwenda barabara ya Musoma mwisho...
mi jana nimebishana na watu hadi nikataka kupigwa chupa ...huyu kocha ni kimeo ........nilichoona kipya ni kuwa kipa hapigi mpira mbele direct wanaanziana...kocha gharasa kabisa huyu ...yule mzungu pasi zilikua zinaonekana huyu hata pasi 4 hakuna ...mbinu hatuzioni ...na wamemleta kipindi kibaya...
kwa 4g ttcl hana mpinzani ...na sasa hivi wamefika A town , mwanza sasa hivi naenjoy hapa,wapo moro,wapo zanzibar,WAPO MBEYA,KIBAHA...mdogo mdogo watafika tu kampuni ilihujumiwa sana na investment waliofanya ni hela zao za makusanyo hawapewa mtaji wowote na serikali...........kwa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.