nilikuwa nalala na cousin zangu wawili, nikikojoa kitandani, naamka, nabadilisha chupi then namsogeza one of the couzin upande wangu wenye mikojo ili nisiimbiwe kindumbwe ndumbwe.
I used to hate Things fall apart, kiinglish kilikuwa hakipandi, nilikuwa naona mwalimu ananipigia makelele tu, I was looking forward na somo la kiswahili, ngoswe penzi kitovu cha uzembe na hadithi za magazeti ya sani(enzi hizo yanatoka kwa mwezi mara moja kama sikosei).
Huwezi kujikimbia, ukabila ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo, there is no harm to talk about it, as long as hauvunji sheria.
kabila lako, ukoo wako haubadiliki we kama ni mmakonde ujue utakufa mmakonde, kama umezaliwa kwenye ukoo wa kimario(utakufa kama kimario) angalau dini na utaifa unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.