Wewe mleta uzi ndyo siyo muelewa kabisa, haupo serious na biashara, ili swali dogo tu la kuelekeza ofisi ilipo hapo Mwanza unalikwepa, unafikiri unajenga hisia gani kwa wateja? We are smart than you jaribu njia nyingine ya uatpeli hii umekwama.
Mimi nilisafiri na Passo Piston3 kutoka Dar mpaka Mwanza nilitoka Dar saa 9 kama na nusu nikaingia Mwanza saa 2 usiku wala sikupata tatizo lolote njiani wala sikupigwa Tochi ilikuwa mwaka jana mwezi wa 10 na niliendesha mwenyewe muda wote wa safari.
Weka details zote za simu pamoja na bei na namna ya kuipata kama upo serious unauza hiyo simu ili kila mtu aweze kuona, inbobo kufanya nini? kuna nini unaficha kuhusu hiyo simu mkuu.
Note 4 mint condition used iliyonyooka unapata kwa 300k halafu wewe unakuja kutuambia hiyo Housing unauza 250k? Hivi upo serious kweli mkuu.Simu ni kioo mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.