jaguar hauko makini kabisa kwanza hg anatumia shuka moja na mtoto iloilo inaonyesha ulivyo na mashuka ya kujinyima.mpatie mtoto shuka na kitanda chake na awe na net yake hutasikia mtoto akilia usiku.na huyo hg akiamua kumwambia mkeo baba aliingia usiku huoni pia tatizo?we sema hakusikia tu.maana...
huyo bwana mshamba sana anagawa namba yake kwa kimada wenzake wanaowaheshimu wake zao wale wenye nidhamu ya woga wana simu ya home na ofisini akirudi hata akikuachia masaa kumi hukuti msg wala simu ikipigwa hapo ikipigwa cm niya kazi tu akienda ofisini ndio anawasiliana na vimada kwenye line...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.