Kwa mujibubwa Meck Sadick 70% ya makaazi ya Dar es Salaam ni slums na hizo ulizotaja no sifa mojawapo ya slums kwa hiyo hayo ya mbagala yasikushangaze hali iko hivyo karibu jiji zima la Dae
Nadhani ni busara zaidi kujenga daraja juu ya ziwa Tanganyika kwenda DR Congo kuliko Unguja. Congo kuna maslahi makubwa kiuchumi na kama ni kurejesha pesa za uwekezaji itakuwa ni rahisi zaidi kujenga daraja juu ya ziwa Tanganyika kuunganisha Tanganyika na DR Congo
Mkuu unachosema ni kweli. Huu uongo wa ati kwamba Tanzania ni tajiri wa rasilimali unatumiwa na watawala kuhadaa wananchi ili wasifanye vurugu watulie tuli wakijua labda kwa kupitia huo utajiri unaosemwa upo ipo siku watapata neema kama mana zile ziliwashukia Waisrael
Uislam umepata kutawala mara kadhaa duniani lwa dola madhubuti kama ile ya ummayad, abbasid n.k je wakati huo dunia ya kiislam ilikuwa na amani? Nachojua walikuwa wakipigana na kushindana jinsi ya kupinduana. Uislam haujui amani. Hata mtume wake hakuwa mtu wa amani. Aliamrisha vita na kuua watu...
Naongelea ile Tanganyika aliyopewa Nyerere na Gavana Sir Richard Gordon Turnbull kwa niaba ya Malkia wa UK. Kama hauijui kapekue vitabu mkuu usiwe mvivu kama WATANZANIA!
Mkuu hii rasimu ya sasa inahusu katiba ya muungano. Makao makuu ya muungano ni Dar es Salam. Dodoma ni makao makuu ya Tanganyika hivyo subiri katiba ya Tanganyika utasikia hilo unalolitaka.
Mkuu hata huo udongo wa pemba pale Kigoma eneo la Mwandiga kwa kina Zitto upo mwingi sana na nafikiri udongo unaoliwa na Wajawazito Tanganyika
unatoka Mwandiga na sio Pemba!
When Bush Jr was in power back then, the same scenerio happened in Georgia regarding Abkhazia na Osetia regions. Bush Jr with all his arrogant behaviour did nothing to stop Russians or Putin in that context.
Again, I expect US under Obama will do nothing this time to stop Putin and very...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.