Kwa umri wa mwanao inabidi aanze kula milo kamili mitatu kwa sasa, asubuhi km ni uji wa lishe mchana ugali na mchuzi wa mboga yoyote na usiku pia chakula mfano ndizi nyama au magimbi au viazi ulaya.
Mi wangu vuakula vyote vya kuunga siweki nyanya naunga kwa kusagia karoti na kitunguu maji tu na...
mimi sijawahi kufikishwa kileleni na mwanaume yeyoye tangu nizaliwe.nimeshakua na marafiki wa kiume na sasa nimeolewa ila sijawahi kufikia kilele.nafurahia foreplay na mengine yote ila ikifikia hatua ya kukutana raha yote inayeyuka.hata nikiwa yayari vipi huwa haisaidii.nifanyeje,naumwa au...
nimekua nikisoma na kufurahia na kujifunza mengi toka kwenu wana jf..kawaida mi ni mvivu sana kujiunga na mitandao ya jamii ila nyie mmenishawishi,big up n pamoja tulisongeshe...lunch njema hasa kwa wale wanaoibia maboc wao kwa kutumia two hrz lunch...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.