Habar zenu waungwana. Nina mambo machache ambayo yananitatiza kuhusu hawa wakaguz wa *TANESCO wanaopita majumbani mwetu.*
1)Je Wanayo haki ya kuingia ndan ya nyumba yako bila ya ruhusa yako au kupitia kwa mjumbe/mwenyekit wa mtaa??
2)Wakikagua mita yako na wakakwambia kuwa mita imechezewa je...
Mtazamo wangu. CCM wakimpitisha EL kugombea uraisi 2015,..kiti cha uraisi kitachuliwa na upinzani kwa asilimia nyingi tu. EL ni mchapakazi kweli lakin ni wachache wanaolijua hilo katika population ya watu wasiopungua milion 40. EL kwa raia wa kawaida ni faisadi tu kwa namna walivyoaminishwa...
Naona hapo mama salma anaimba wimbo wa taifa huku anatingisha tingisha mabega.,sijui kadhan taarab. Huyu mkuu wa kaya ndo swaga zote anazimaliza kwa kugeukageuka anataman apungie watu mikono hku wimbo unaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.