Habari za sikuu nyingi wanajamii ,nimekuwa kimya muda mrefu sana,napenda kutoa shukrani zangu zote ziwafikie wanajamii kwa kupokea ushauri wangu pale walipo uliza kuhusu matatizo ya gari aina ya mitsubishi pajero io or GDI,
Tunaendelea kutengeneza gari hizo bila tatizo,na gari aina zingine kwa...
Please dont worry ,gdi is very nice but more of mechanic/technician are not aware of that.i worked at tabata relini ,and i have scanning tool for diagnosis.mobile number 0755399613,0715399613.best regards.gharish john.
Tafadhali usipate shida gdi zinatengenezeka vizuri sana na spare zake zipo bila matatizo.tuko tabata round about kuelekea st marry mwanzoni round about kulia gate la jekundu.tunatumia scan tool kwa diagnosis.mawasiliano yangu .0755399613,0715399613.tunaweka spare sahihi za gari.pia angalizo gari...
usiogope hawazijui hizo gari.ni gari nzuri sana, ila zina mashariti yake..Unatakiwa uweke mafuta unleaded fuel tank,uweke plugs zake kama zake zimechoka,usimwage oil ya gearbox ukaweka ya elfu tano sio sahihi..sikuwa na eneo la kufungua gaurage,ila kwa sasa nimepata eneo ninaweza kuwahudumia...
wapendwa poleni sana na matatizo ya gari aina ya pajero io,chariot grands,dion,diamante,outlander,Airtreck na zote jamii hizo.Wanazita GDI maana yake Gasoline direct injection.Tatizo kubwa la mafundi huwa hawajui mfumo wa hizo gari ndio maana zinawapatia taabu sana.pia hizo gari hazitaki mafuta...
Hello,kama uko dar please wasiliana kwa namba hii 0755399613,0715399613.usipende kupeleka gari yako kwa mafundi wasio na diagnostic tool utaua gari yako.pia mafundi wengi wanapata shida kwasababu hawana ujuzi wa kisasa,
Hello wana jamii forum napenda kuwapongeza katika michango yenu baadhi ya magari kiufundi na ubora magari.tupo tayari kiushauri pia na kikazi.<br>Kwa mawasiliano piga nambari hii 0715-399613,0755-399613.AHSANTENI.<br><br>
Hello,ukweli pajero io ni bomba sana.ila mafundi wengi hawajui jinsi gani mfumo unafanya kazi.kosa kubwa watu wengi wanafanya ni kutembelea taa ya mafuta inawaka ni kosa lajinai kwa pajero io.kama utahijai ushauri wa kiufundi.piga simu ,0755399613,0715399613.niko dar es salaam.pia spare...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.