Kwa hali hiyo ningeshaondoka kabla hata sijaomba ushauri...........your too young to suffer mamie leave the place immediately enjoy ur life...life is too short
Kuwa mpole tu kijana uone mambo yatakavyoenda siunajua penzi alilazimishwi...so kama anakupenda atabaki kwako kama atarudi kwa x wake ujue anampenda yule...patience pays
Usifanye hivyo mpendwa lazima Mungu kakuandalia wa kwako
Is the matter of time tu am telling you
Am experiencing the same situation but sijakata tamaa najua ntampata wa kwangu kutoka kwa Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.