Uhusiano wa Syria na Tanzania ni mdogo sana kiasi cha kuanza kutoa kauli juu ya mambo yanayoendelea kule. Mimi binafsi hata sikumbuki kama walishawahi kutupa msaada hata wa kibajaji kimoja, sasa ya nini tuanze kuingilia? Cha muhimu kwa sasa ni kuangalia kama Lowassa ataweza kuchukua nchi 2015 au...
Wakati mwingine tunaweza tukawa tunawalaumu polisi bila sababu za msingi. Hivi mtu akigongwa na gari basi uamuzi ni kukusanyika na kupanga mawe barabarani? Halafu hii habari ina uhusiano gani na siasa?
With the picture painted by an overwhelming reactions to this thread, it is undeniable that Lowassa is in line of succeeding JK. In Tanzanian politics, it is always difficult to anticipate who will become who in the future. Matters turn worse after seeing that very same clerics who once severely...
Knowing that his name is already mud beyond cleanliness, Lowassa won't dare play a mug's game by getting his nose into 2015 polls. What seems to be a possible alternative for him is that would perhaps put and support his man of choice for presidential post. This move where by a kingmaker decides...
Mkuu ulichokifanya hapo kuhusiana na Mwita25 na kumfananisha na Bundajo ni kinyume na miongozo ya JF. Jaribu kurejea sheria za JF na nakushauri uwe unazipitia japo mara moja kila miezi miwili ili usiharibu hali ya hewa tena. Nimejaribu kukuelezea kwa lugha ya upole ili upate muda wa kunielewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.