Wadau wa JF na wote ambao mtasoma uzi.
Kuna uzi umeanzishwa na idawa kuwa Lowasa ameshindwa kuhutubia mkutano wa Tunduma leo hii na kuzua sababu nyingine ambazo ni uwongo.
Usahihi au ukweli wa jambo hilo ni huu. CDM kesho wana mkutano mkubwa Mbeya Mjini, hivyo gari gari mbili zipo jijini...
Unatakiwa uhamasishe watu kupiga kura siyo wasiende kupiga kura kwa hofu ya kuibiwa. Hilo ndilo jambo la msingi. Halafu uzi kama huu sikutegemea utoke kwako, ni shahiri dhahiri umekengeuka.
Kulinda kura watu watalinda kwa sababu ni vituo vichache ambavyo vipo 100mt bila kuwa na makazi ya watu...
Huyu mgombea ni mbabaishaji sana, yeye anajua kabisa kwa nini tataizo la umeme linaendelea mpaka leo na ndiyo maana hakuwa analizungumzia siku za nyuma. Leo hii anataka kuwatoa watu kafara ilhali anaujua ukweli.
Kuhusu M4C katia aibu kabisa.
Nani aangalie TBC1? Hebu jiulize unaangali TBC1 kwa kipi??
1. Ubora wa picha?
2. Ubora wa habari na uhakika?
Yote hayo hapo juu hayapo. Yaani TBC1 ndiyo TV inayoongoza kwa kuwa na muonekano mbaya hata kama unatumia HD cable! Wamezidiwa hata na Clouds TV, hali kadhalika kwa ubora wa picha Azam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.