Acheni wivu, wewe unajua mkataba wake na Simba ukoje? Umeambiwa asitangaze bidhaa zozote za Azam? Mnapenda Sana kuingilia maisha binafsi ya watu. Yeye anatengeneza pesa nyie mnakaa kupiga majungu.... Wewe kazi yako Kama shabiki no kushangilia na kuzomea Basi, Mambo binafsi ya watu achana nayo...
Kama nawaona vile mnavyohaha kuhamisha magoli, baada ya majina yenu mliojipa wenyewe kutrend, utopolo FC, mabonde Kuinama, mlenda United, Mkunungu sports club, gingowazi, vyura, dah mengine mtaongezea wenyewe..
Acha uongo wewe, Ni wasabato Wa wapi wasiomkubali Roho Mtakatifu.. Na ni wapi wamepinga karama za Roho.. Hujui usemalo.. Kama hawaneni kwa lugha Ina maana wao ni mabubu. Labda kama hujui nini maana ya lugha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.