Duh kumbe nayo yana wivu hawapendi maendeleo yetu?
Basi hawana tofauti na wachawi.
Ila hata hivyo hakuwa na watetezi huyo marehemu ambao wangemkingia kifua kwa mazuri yote hayo aliyowafanyia?
Binadamu ni anafiki sana sio wa kuwaamini kabisa kmmq
Pole sana,hao jamaa ni changamoto sana.
Maeneo mengi nchini wanawalalamikia na Serikali ni kama imewaruhusu maana yake hakuna hatua yoyote inayochukuliwa kutatua changamoto kama hizo za wananchi.
Vitu kama hivi ndivyo vinavyosababisha wananchi wasiwe wazalendo kwa nchi yao.
Nchi hii ina mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.