vijana wengi mmesoma elimu isiyokidhi wala Biblia hamjasoma ipasavyo. zamani Daudi alikuwa mfalme, nabii na mkuu wa nchi n.k. siasa chanzo chake ni Biblia, wanasiasa wamechukua baadhi wameacha mengi ya adili ndio maana kila jambo halifanyiki kikamilifu. mm nilidhani kama vijana umoja na...
usipotoshe watu, utawaua bure, hivi kwanini wachina ambao wanatengenezza dawa hizo wao hawatumii wakati hawana makalio wala matiti wala uume mkubwa. hiyo ni ishara kuwa dawa hizo sio salama kwa watu wetu
nakubaliana nawe katika miradi ya ujenzi wa majengo ya umma ufisadi ulikithiri. hao wasamehewe hawajui walichokiongea. bila nguvu ya jpm hapa hata bilioni 100 zingeliwa, ndo hao walikuwa wanaharibu watoto wetu
acha waisome namba, heko jpm
hakuna MTU mwenye akili kuliko mwingine, tafiti hizo zinalenga kuwakatisha tamaa waafrika!!! mbona walipokuja tulikuwa na maendeleo sawa, kwann walianza na kuua viwanda vyetu?. kinachotuponza Africa ni kuchagua mafisadi, ndio wengi wanaowazunguka hata viongozi kwenye nia Wa kuwaletea wananchi...
naomba tu kuuliza... hivi kama lowasa ni fisadi, ametoka CCM akiwa fisadi, hata Leo yuko upinzani ni fisadi, kwanini hakamatwi na kufunguliwa mashitaka na vyombo vya dola/serikali? je vinamwogopa? je lowasa ni Bosi Wa serikali? je lowasa anayetajwa ni huyu tumjuaye au ni serikali? Mimi sina...
mbona suala hili alikanusha ktk vyombo vya habari hata akawapa changamoto waandishi Wa habari kuwa mwenye video hiyo aitoe hadharani. kijana acha uvivu Wa kusikiliza na kutafuta habari tafuta somo liitwalo mkristo na uchaguzi
Tatizo kijana umeweka ushabiki Wa chama chako tu basi ndio umeshindwa kuchambua kwa Uhuru mada yako.
pili ungetumia busara kidogo ungejiuliza kwann kila binadamu ana jina lake na viungo vyake hachangii na MTU? ungejiuliza kwann binadamu anaheshimu na kutambua nyumba na umiliki wake?
vilevile...
Mhe. Rais amesema hakuna jibu litakalobaki bila kutumbuliwa kwann MNA Mashaka. tumpe muda na tuendelee kumshauri ili azidi kuyatumbua. naye hana utani kabisa maana akishalijua anajiridjlhisha na kulitumbua
Mhe. Rais amesema hakuna jibu litakalobaki bila kutumbuliwa kwann MNA Mashaka. tumpe muda na tuendelee kumshauri ili azidi kuyatumbua. naye hana utani kabisa maana akishalijua anajiridjlhisha na kulitumbua
si busara kama nchi kutegemea misaada kanuni ni kuwa MTU anayetoa ndiye anabarikiwa zaidi kuliko anayepokea. hivyo ni bora nchi ijikite ktk kuendesha serikali kwa vyanzo vyake.
tujifunze kwao kesho tuwekeze ktk maisha yetu na nchi yetu bila msada wao
kama ni fisadi naamini ni jibu linalotakiwa kutumbuliwa kwann hajashitakiwa na kufungwa kama akina mramba etc
kama tumeshindwa kumshitaki na kumfunga huyo kikatiba sio fisadi bali ni mtu safi anayestahili kuheshimika na kila mtu
usiwe unakurupuka kuleta mada bila utafiki no research no...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.