Nilisoma pale 1963-1966. Namkumbuka sana Father Gotard, mwalimu Mahai, mwanafunzi mwenzangu kalubandike. Tulikuwa tunaiba sana mihogo ya bruda Lukundus.
Habari za leo wan JF. Nawaombeni msaada wenu. Mtu toka S.Africa ameniandikia kunipa ofa ya kurithi leseni ya marahemu David Rusell aliyefariki kwa ajali. Baada ya mawasiliano marefu amenitumia email hapa chini ikitaka niende South Africa tukasaini mkataba ili leseni ya biashara iwe yangu...
Unasemaje Kende! Lazima nimjue mtu ndio kazi ipatikane?
Mimi mtoto wangu anamaliza kozi ya miezi 3 ya food production pale VETA je ni lazima nimjue mtu ili apate kazi hotelini, kwenye mikahawa n.k. Mbona sikuelewi. Cheti chake hakiwezi kumpatia kazi?
Kwa kweli wanaudhi. Jana tu saa 11 jioni nilinunua LUKU kupitia m-pesa. Sms kunijulisha nimefanikiwa imekuja saa 3 usiku! Imagine. Muda wote tunasubiri tuko gizani. Jirani yangu aliishiwa luku saa 2 usiku. Ndani ya dakika 5 akawa amenunua umeme kupitia Tigopesa. Nimekoma. Sitathubutu tena...
Naomba msaada. Nitakaa korogwe kikazi kwa muda wa mwezi 1 hivi. Budget yangu ya guest house ni sh 15000-20000. Kwa mnaoifahamu Korogwe niwaombe msaada wenu. Ipi ni lodge nzuri kwa budget hii niliyopewa. Kwa sasa niko Newala. Mungu awabariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.