Hahah ni maajabu na kweli nani watamlipa hizo pesa??kama mmiliki hajulikani??nani anawatia pressure kali hiyo??ila RA ni kiboko jamani tutake tusitake jamaa anatisha.....hata JK hageuzi kabisa na kisirani chake chote ameshikwa pajaya na RA...
Nami naunga mkono huu ni uhuni kabisa zile sio taa za barabara kubwa jamani...hazina nguvu na hy alminium inachekesha zile zafaa kwenye fensi ya nyumba za watu campus na etc si barabarani.
Sidhani kwa ushindani huu kama unaweza pata hiyo kazi unayotaka maana najua sikuhizi wanachukua adv dip tena za banking....nakushauri uende shule kwanza.....vyuo vinawatema sana hao wenye sifa.....ila sio form six tena.
Wanalumbana tu kuhusu Dowans ila mwisho wa siku lazima wanunue kina mamvi wachukue mgao wao wajindaekupenyeza fitna uchaguzi ujao mnabisha?ndio hivyo....
Nawakubali wachambuzi wa mada nyingi sana hapa JF kwa kweli lau has to go....go go lau go..hilo moja ni kubwa sana inatosha uwezo wako bado mdogo rudi imma ukasubiri kufungua kampuni za deal ule commisin yako hapo ulipo hupawezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.